Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1640635430787.png
 
Habari mbaya, ni kwamba tutamkosa ben chilwel katika kipindi chote cha msim kilichosalia hii ni baada ya kufanyiwa vipimo na kuoneshabkuwa atahitajika kufanyiwa upasuaji katika siku chache zijazo
 
Habari mbaya, ni kwamba tutamkosa ben chilwel katika kipindi chote cha msim kilichosalia hii ni baada ya kufanyiwa vipimo na kuoneshabkuwa atahitajika kufanyiwa upasuaji katika siku chache zijazo
SO SAD, MUNGU YUPO
 
Habari mbaya, ni kwamba tutamkosa ben chilwel katika kipindi chote cha msim kilichosalia hii ni baada ya kufanyiwa vipimo na kuoneshabkuwa atahitajika kufanyiwa upasuaji katika siku chache zijazo
Kuna habari zinasema huenda Chelsea wakamfata Lucas digne WA Everton Kwa mkopo WA miezi 6 ....au kumrudisha Emerson palmieri au kumuita DG WA u23 iaan matsen
 
Kuna habari zinasema huenda Chelsea wakamfata Lucas digne WA Everton Kwa mkopo WA miezi 6 ....au kumrudisha Emerson palmieri au kumuita DG WA u23 iaan matsen
Plan A , nikusajili
Digne ndie amehusishwa sana,huku deal lake likiwa la mkopo
Wachezaj wengine waliohusishwa ni sergio dest na tagliafico

Huku plan B ni kumrejesha kati ya emerson au ian matseen
 
Plan A , nikusajili
Digne ndie amehusishwa sana,huku deal lake likiwa la mkopo
Wachezaj wengine waliohusishwa ni sergio dest na tagliafico

Huku plan B ni kumrejesha kati ya emerson au ian matseen
Bora Lucas digne amewazidi hao premier League experience angetufaa miezi hyo 6
 
Habari mbaya, ni kwamba tutamkosa ben chilwel katika kipindi chote cha msim kilichosalia hii ni baada ya kufanyiwa vipimo na kuoneshabkuwa atahitajika kufanyiwa upasuaji katika siku chache zijazo
mapande yake kwisha duh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom