Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

sisi kama chelsea tuna kikosi full of talents tuchel must go
 
tunahitaji binchi jipya la ufundi lililopo limeishiwa mbinu
 
kuna haja ya kuingia sokoni january kwa ajili ya viungo, waliopo mchango wao upo kwenye backpass na penalt tu
 
tukimiliki uwanja wetu wenyewe tukaachana na huu wa manispaa tutakuwa na morali
 
Mendy karuhusu goli la kijinga na vado kuna mkereketwa hapa atadai akitoka Salah Mendy ndio no. 2 kwa ubora EPL
Errors za kipumbavu kama hizi ndio zitatufanya kuwa Bingwa.
Mendy hayuko fit kipindi hiki
Hivi unaangalia mpira au unafatilia livescore, mpira kama ule kipa anaudaka vipi??
 
sis kama chelsea tunachukua ubingwa alisikika mlevi mmoja akisema
 
Hivi unaangalia mpira au unafatilia livescore, mpira kama ule kipa anaudaka vipi??
Mimi ndio nikuulize wewe, deflection simple kama ile kwell una gats za kuniuliza hivyo Franky. Cheki replay kabla hujafoka ndg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom