Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,877
- 16,453
Kenge wa darajani naona akili zinaanza kukaa sawa.Kwa sasa Arsenal ni bora kuliko Chelsea
City na Liverpool tusijipime kabisa nao
Tukiendelea kupoteza point kwa mechi mbili zaidi mwezi huu tusahau kabisa EPL title race itakuwa ni two-horse race
Sisi tuwekeze kwenye top 4 na UCL na yale makombe ya mbuzi
Tusitegemee Kante, Chilwell na Kovacic wakaja na kuwa fit na kuleta impact mara moja kwa majeruhi kama yale ya muda mrefu
Matokeo mengine zaidi ya haya ya maelezo yangu ni miujiza tu
Wazee wa kikosi kipana sasa hivi ndio mnaanza kuelewa maana halisi ya kikosi kipana.