Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kule mbele bado kuna shida sana, bora mabeki waendelee kufunga. Ile chance ya Rudiger kama angetulia tulikuwa tunaondoka na pointi 3. Lakini yote kwa yote timu yetu now inacheza vizuri sana, shida ni kule mbele tu.
Mbona Mara ya kwanza mlijitapa hamkujua huko mbele ni wabovu...???
Niliwaambia ilikuwa kidogo tuwabutue kimoja bila.
Bahati yenu mshukuruni refa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kule mbele bado kuna shida sana, bora mabeki waendelee kufunga. Ile chance ya Rudiger kama angetulia tulikuwa tunaondoka na pointi 3. Lakini yote kwa yote timu yetu now inacheza vizuri sana, shida ni kule mbele tu.
Exactly, hapo ndipo liverpool anapotuacha,

Ngoja tuone hizi chance tunazotengeneza je tutacreate wakat lukaku yupo,?
 
LWB km uwezekano upo acheze CHO huku pulisic/mount akisogea mbele

Azplicueta hana pace + umri ushaenda
Odoi alisema hayupo comfortable kucheza RWB...lwb ndo yatakuwa yaleyale ....hvyohvyo Kwa Saul ambaye alishawahi kucheza lwb chini ya simeone nayo hakuwa comfortable kucheza pale....
 
Odoi alipata chance one to one akakosa....

Joginyo ndio yule....

Kila siku tunashinda na tuna majeruhi mbona...

Kikosi cha leo hakitofautiani na kile kilichocheza na Juve

Ila match ya Juve tulicheza vizuri sana
Ile chance unamlaumu vipi odoi kwanini usisifie ubora wa kipa watu wakuwalaumu kwa chances walizokosa ni Werner, Rudiger ile chance aliyoipata mwishoni
 
Ni upuuzi kutoka sare na NYUMBU
Tena nyinyi ndio mumechomoa na nnya
Mujipange, hamna timu ya kuifunga Man utd, kenge wa kwenye miamba nyie.

Tuite wachana mikeka, ukitupinga tunakulaza na njaa.
 
Dah Yale matakataka Yana lindMnofu na Halimagwaya eti alafu tumeshindwa kuyafunga daah nimeumia kinyama
We chupi hujaangalia game.
Huyo baashako Maguire hakucheza jana, sababu ya kadi nyekundu.

Na jana nyinyi ndio mulio chomoa na mavi.
Bahati yenu refa alikua upande wenu, akawagea penati, lasivyo leo asingeonekana hata kenge mmoja humu.

Tuite wachana mikeka, ukitupinga tunakulaza na njaa.
 
Mbinu za kufunga zikiisha muwe kama westham tu nyie nikuzuia tu hamna kufunga.
 
Sisi tuliwapiga 5, akaja mzee Ranieri akawapiga 4, citizeni wakajipigia 2. Nyie jaaho limewatoka na mkashindwa kuwapiga. Ndo mnadrop point hivyo. City tofauti ya alama 1, Sisi 2.
Mpaka dec hii inaisha kila m1 qtakaa kwenye nafasi yake.
1. Liverpool
2. City
3.Chelsea
4. Gunners
5.
6.
7. United
8.
Sijui munakunywaga champumu
Yani Man utd amalize nafasi ya saba? Unachekesha.

Nyinyi mulimfunga Sorkjaer sio Man utd.

Man Utd tunamaliza ndani ya big 4 , ligi bado mbichi kabisa.
 
Hata mimi sijasema kwamba ni game ya Jana... Jana Magwaya hajacheza kwanza...

Ila huwa mnafanyiwa michongo sana mkicheza na sisi. Msijisahaulishe.
Kiroba chenu cha kilo mia mbili kiliingia lakini hakikuleta maajabu yeyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom