HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,256
- 103,420
Haya mzoa takaBahati hayakua upande wetu, Yale magoli ya wazi siyo ya kupoteza.
Hakuna faida ya attempt nyingi wala faida ya Kona nyingi.
Haya mzoa takaBahati hayakua upande wetu, Yale magoli ya wazi siyo ya kupoteza.
Hakuna faida ya attempt nyingi wala faida ya Kona nyingi.
Kwan huwaga mnamfunga man utd kumbeTukitoa DRAW yatakuwa matokeo ya OVYO sana
Huwaga mnamfunga kumbeeNi upuuzi kutoka sare na NYUMBU
Huna uwezo wa kunitoa kuongoza ligi nyie ni watoto wadogo Kwa Chelsea.Mdogo mdogo mnaenda kuachia nafasi pale juuu .....
City bingwaaaa [emoji91]
Pressing gani... Mpira umesimuliwa au?goli gani la wazi? Mzee mmefanyiwa pressing mkapoteana hamna cha goli la wazi wala bahati ......
Umekabwa Koo na man u mbovu unataka kusema Nini Tena hahaaaaaHuna uwezo wa kunitoa kuongoza ligi nyie ni watoto wadogo Kwa Chelsea.
Sawa wewe ulieangalia mechi tactically nichambulie shape ya ukabaji wa man u? Ukishindwa niite nije nikusaidiePressing gani... Mpira umesimuliwa au?
Sijakabwa koo kaangalie statistics sema Sisi tumezingua kufunga magoli.alafu sio mara ya Kwanza Sisi kuongoza Kwa tofauti ya pointi 1 na hamkutupita.Umekabwa Koo na man u mbovu unataka kusema Nini Tena hahaaaaa
Sisi tumecheza utumbo ila siyo kama kuna chochote mmefanya cha ajabu.Sawa wewe ulieangalia mechi tactically nichambulie shape ya ukabaji wa man u? Ukishindwa niite nije nikusaidie
Elekea huko unajifariji man u walipaki basi
Labda pia majeruhi ya wachezaji muhimu yamewacostSisi tumecheza utumbo ila siyo kama kuna chochote mmefanya cha ajabu.
Dah Yale matakataka Yana lindMnofu na Halimagwaya eti alafu tumeshindwa kuyafunga daah nimeumia kinyama 😠😠😠
Ni wakati ss wa pulisc kuanza badala ya odoiChance tunapata ila tunashindwa kuzitumia, ndani ya dakika 5 tu za kwanza tulikuwa tushapata chance 2 za kuscore kubwa zaidi ilikuwa ya odoi .
Majeruhi ya chilwel yanaweza kutucost sana simuoni alonso akicheza katika pace aliyokuwa nayo chilwel.
Game ijayo tuko dhid ya watford pale vincarge road siku ya j5 tunahitaji kushinda hii game.