Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelwowowo mlikuwa mmejiaminisha kabisa mnampga man u ona sasa saivi mmetulia tuliiii
 
Odoi alipata chance one to one akakosa....

Joginyo ndio yule....

Kila siku tunashinda na tuna majeruhi mbona...

Kikosi cha leo hakitofautiani na kile kilichocheza na Juve

Ila match ya Juve tulicheza vizuri sana
Uchezi wa Chilwell kuingia mara kwa mara kwenye box ya oponent ulisaidia kuisambaratisha defense ya Juve, sasa huo ubunifu Alonso hana
Alonso anacheza mpira wa kukariri, yeye akipata ball ni kumrudishia Rudiger, kutafuta spaces wakati hana mpira hana. Ndio maana bora Azpi acheze badala yake
 
Tomas Tuchel hasimpage Tena Odi sio mchezaji wa kucheza Chelsea. Anakosa goli hapa na hapa. One against one close to the Goal frame.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Odoi ni bonge la mchezaji, bado anakua kwa hiyo inconsistency ni kawaida kwa umri ule, hata Drogba siku za mwanzo alikuwa na makosa makosa mengi lakini muda ulipoenda aliimarika na kuja kuwa mnyama wa hatari. Muhimu kocha amfanyie rotation, asimuanzishe kila mechi
 
Mambo ya kuchezea nafasi hayo
FB_IMG_1638194040129.jpg
 
Uchezi wa Chilwell kuingia mara kwa mara kwenye box ya oponent ulisaidia kuisambaratisha defense ya Juve, sasa huo ubunifu Alonso hana
Alonso anacheza mpira wa kukariri, yeye akipata ball ni kumrudishia Rudiger, kutafuta spaces wakati hana mpira hana. Ndio maana bora Azpi acheze badala yake
Alonso sidhani kama ataaminika tena

Bora azpi na reece wacheze pamoja

Reece akiletwa kushoto
 
Hahaaaaa pigaaaa chelwowo ...


Jana Chelsea yakajipitisha na wowowo ,Sancho akawasha kimokoooo ....referee akawasaidia kuchomoa ....vinginevyo mngelala yooooh
 
Hatukuzidiwa bali hatukuwa clinical katika nafasi zetu tulizopata,
Odoi,werner, rudiger hawa wote wamekosa nafas za kufunga
Usinikumbushe ile nafasi ya Rudiger, it was a killer chance, Odoi afadhali Degea alicheza vizuri
Werner is a bulshit, saa nyingine sijui huwa anawaza nini
 
Naona jukwaa limeanza kuvamia taratibu, je jana tungefungwa? Hili jukwaa tungehamishwa na makelele ya inzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom