John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Si nafasi yetu ya Kwanza kama mna uwezo ichukueniWarudi kwenye nafasi yao hawa wanatutia kiwingu tu, tena wakizubaa Arsenal wanakuja ichukua hiyo nafasi yao ya 4.

Si nafasi yetu ya Kwanza kama mna uwezo ichukueniWarudi kwenye nafasi yao hawa wanatutia kiwingu tu, tena wakizubaa Arsenal wanakuja ichukua hiyo nafasi yao ya 4.

Odoi bado hajawa mzuri kwenye finishing afanyie kazi hapo,Ile chance unamlaumu vipi odoi kwanini usisifie ubora wa kipa watu wakuwalaumu kwa chances walizokosa ni Werner, Rudiger ile chance aliyoipata mwishoni
Kwan wewe umeshinda mkuuChelwowowo mlikuwa mmejiaminisha kabisa mnampga man u ona sasa saivi mmetulia tuliiii![]()
Uchezi wa Chilwell kuingia mara kwa mara kwenye box ya oponent ulisaidia kuisambaratisha defense ya Juve, sasa huo ubunifu Alonso hanaOdoi alipata chance one to one akakosa....
Joginyo ndio yule....
Kila siku tunashinda na tuna majeruhi mbona...
Kikosi cha leo hakitofautiani na kile kilichocheza na Juve
Ila match ya Juve tulicheza vizuri sana
Ongea kwa adabu unapoongea na mabingwa wa Ulaya na bado tunaongoza ligiMbona Mara ya kwanza mlijitapa hamkujua huko mbele ni wabovu...???
Niliwaambia ilikuwa kidogo tuwabutue kimoja bila.
Bahati yenu mshukuruni refa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Odoi ni bonge la mchezaji, bado anakua kwa hiyo inconsistency ni kawaida kwa umri ule, hata Drogba siku za mwanzo alikuwa na makosa makosa mengi lakini muda ulipoenda aliimarika na kuja kuwa mnyama wa hatari. Muhimu kocha amfanyie rotation, asimuanzishe kila mechiTomas Tuchel hasimpage Tena Odi sio mchezaji wa kucheza Chelsea. Anakosa goli hapa na hapa. One against one close to the Goal frame.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alonso sidhani kama ataaminika tenaUchezi wa Chilwell kuingia mara kwa mara kwenye box ya oponent ulisaidia kuisambaratisha defense ya Juve, sasa huo ubunifu Alonso hana
Alonso anacheza mpira wa kukariri, yeye akipata ball ni kumrudishia Rudiger, kutafuta spaces wakati hana mpira hana. Ndio maana bora Azpi acheze badala yake
Unaongoza league kwa tofauti ya point moja ,then unavimba......Ongea kwa adabu unapoongea na mabingwa wa Ulaya na bado tunaongoza ligi
Harafu lukaku aende wapi .....wewe ni mzima kweliBora tucheze bila Lukaku






Wewe bado mtoto kwenye hili jukwaa.Hahaaaaa pigaaaa chelwowo ...
Jana Chelsea yakajipitisha na wowowo ,Sancho akawasha kimokoooo ....referee akawasaidia kuchomoa ....vinginevyo mngelala yooooh
Usinikumbushe ile nafasi ya Rudiger, it was a killer chance, Odoi afadhali Degea alicheza vizuriHatukuzidiwa bali hatukuwa clinical katika nafasi zetu tulizopata,
Odoi,werner, rudiger hawa wote wamekosa nafas za kufunga
RLC ana tatizo bado, akiwa na mpira anadhani yuko peke yake hadi anapokolewa, sometime he is good at dribling and sometime very booringHivi jana mlimuelewa RLC alivyocheza