lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,491
Leo inasumbua hata mimi inakatakata na kurudia rudia sceneHiv hesgol inasumbua mie tu huku nilipo au wote duuu
Leo inasumbua hata mimi inakatakata na kurudia rudia sceneHiv hesgol inasumbua mie tu huku nilipo au wote duuu
Powa mkuu ila zych du hakuna mtu wa ku force beki ya juze TOMO ANATAKIWA NA ODOILeo inasumbua hata mimi inakatakata na kurudia rudia scene
Sorry TimoLeo inasumbua hata mimi inakatakata na kurudia rudia scene
Hivi inakuwaje Chelsea tumesajili striker lakini bado zaidi ya mechi kama 5 zote hatupati magoli kipindi cha kwanza?Watoke HAvertz na Ziyech waingie Lofts Cheek na Werner
Viungo wetu hawatengeneze nafasiHivi inakuwaje Chelsea tumesajili striker lakini bado zaidi ya mechi kama 5 zote hatupati magoli kipindi cha kwanza?
Je tunakamiwa sana sababu ni mabingwa wapya wa Ulaya?
Je timu pinzani zimeshagundua mbinu za TT?
Je wachezaji ndiy bado tatizo la kutoelewana mbele?
Je Wachezaji wameshachuja?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Namuona Timo Warner akija kufungua pini za juveZiyech, havert hawatengenez chance za kufunga anahitajika mtu wa kuibomoa ngome ya Juventus maana washenzi wamepaki bus
Lukaku hapewi mpiraZiyech, havert hawatengenez chance za kufunga anahitajika mtu wa kuibomoa ngome ya Juventus maana washenzi wamepaki bus
Eti lukaku aka simtank hapewi mipira



Sielewi tatizo Nini mpaka sasaInavyoonekana Chelsea wanaendelea na form yao mbaya
Kwenye baibo kuna Mo?Ni joke tu hiyo. Kama sio msoma biblia unaweza kutoka kapa humo.
Hivi inakuwaje Chelsea tumesajili striker lakini bado zaidi ya mechi kama 5 zote hatupati magoli kipindi cha kwanza?
Je tunakamiwa sana sababu ni mabingwa wapya wa Ulaya?
Je timu pinzani zimeshagundua mbinu za TT?
Je wachezaji ndiy bado tatizo la kutoelewana mbele?
Je Wachezaji wameshachuja?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Niliyasema haya kabla....Mwaka 2013 ikiwa ni msimu mmoja tu baada ya kubeba UCL juventus walitunyuka 3-0 kule Turin na kupelekea kwenda kucheza Europa.
8 years now tunakutaka na Juventus tukiwa tumetoka kuchukua UCL.
This time tunaanzia Turin, Je mambo yatajirudia?