Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huna timu ya kuifunga chelsea goal 3 uwe unaelewa.
Huna unalolijua wewe
IMG-20210925-WA0059.jpg
 
Kante sio tatizo. Tatizo lilikuwa na approach kwa ujumla ya TT haikufanya kz... Huo ndio ukweli! Maana Chelsea ilikuwa na uwezo wa kukaa na mipira lkn approach yao ilikuwa ni kuwaacha city watawale mpira wao wavizie counter attacks tu.... Kitu ambacho kilionekana kutokuzaa matunda kabisa.


Walitakiwa wacheze mpira wao wakianza kwanza kwa kuhakikisha wanampoka city possession na kucheza ktk half ya city.


Na ukiangalia sn jinsi game ilivyo kuwa ni km vile Chelsea alitaka apate matokeo positive lkn si kwa kutumia nguvu sn km walivyo kutana na spurs maana wanaona watakuwa na kz kubwa sn baada ya siku tatu kucheza na Juve tena away.... Kwa hiyo ni km walihitaji kuwa calm little bit lkn wakipata matokeo mazuri.


Mtaona game ya Juve namna Chelsea itakavyo kiwasha.
Kwani recovery inahitaji approach ya kocha, kwani kama ni counter si recovery ndio ingefanya ifanikiwe. Leo Kante hakuwa kwenye form kila mtu aliyeshuhudia ameona hivyo. Hii approach ya leo haikuwa na tofauti na ile ya UCL final, the only diference TT alitumia viungo watatu badala ya wawili
 
The Champions League final match was the most important and glad we won that, I will be watching a replay today and tomorrow , no EPL matches for today and tomorrow thanks 🔵🔵🔵
Kwenye ligi utafungwa utajiuliza kama sio kwa aliyekufunga basi ni kwa yeyote atakayejipitisha mbele yako. Chelsea bado tunayo nafasi kubwa ya kubounce back kwa yeyote atakayejipitisha mbele yetu. Wa ikwanza akiwa Southampton.

Lakini kwenye UCL final either you die or live
 
Unataka nianze kukuhesabia ,hujui hata mchezaji wako ,mbaya zaidi unashabikia Chelsea ....

Rudi arsenal huko
Msimu huu Zimeshachezwa game km 7 hv.....kabla ya kukukojolea uefa tulicheza na real Madrid nusu final...mount hakufunga? Acha kucopy mihabari bila kufanyia uchanganuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom