Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,620
Mpira tulianza kucheza dakika ya 70
Kwakweli, huyo ndiye Pep. Mzee wambinuPep leo alimfanyia hw tuchel, city leo walikuwa bora zaidi yetu kuanzia dakika ya kwanza mpk ya mwisho plan yetu waliweza kuiua,
City wangeweza shinda goal hata 3,
Mbinu za tuchel leo ziligonga mwamba city waliweza kututawala na kuhakikisha counter zote wanaziua
Next game tuko away dhidi ya juventus the. Away to soton,
Wachezaji wa man city mpira ulivyoisha wameshangilia kama wameshinda UEFAPigi miti hizi takataka za darajan ...
Vunja hilo daraja la Stamford bridge ,kudadekiii
Piga mita kante,kudadekiii ,leo nilisema nyie mbwa mtajuta kuingia uwanjan falaa nyie ...
Kante Yuko wapi ????
Rudiger ???
Hao wote pep kawatembezea motooo mkali



inaonekana kila siku huwa mnaangalia replay ya ile Fainali 






full kuteseka haaaaaaaaaa



















Na wahenga walisema "Biashara ni asubuhi", hiyo imetu-costMpira tulianza kucheza dakika ya 70 View attachment 1952377
Mkuu mbona unajitahidi sna kuchambua Mpira umeshindwaje kuona kuwa Jorgino ndio alikuwa weaklink leo?, alipashwa kuwa bench 1st half, Konte kecheza kuziba hayo magapKama sio Mendy na Silva leo ingekuwa 0-4
Form ya Kante imetuangusha leo
RLC kwa form hii anastahili kuwepo kwenye plan za TT
Kilichobaki ni ku-bounce back kwenye mechi na Southampton
City asingekubali kufungwa mara ya 4 mfululizo wakati huo huo alishatolewa na Chelsea kwenye FA, kufungwa EPL na UEFA.Kama sio Mendy na Silva leo ingekuwa 0-4
Form ya Kante imetuangusha leo
RLC kwa form hii anastahili kuwepo kwenye plan za TT
Kilichobaki ni ku-bounce back kwenye mechi na Southampton
UEFA, FA, EPL.Kuna timu moja tu hapa dunian ....
Manchester city
OGOPA MATAPELI![]()

Ndo maana husikii kelele mtaaniIla Man Utd A.KA NYUMBU kanipooza sana maumivu kufungwa na Aston Villa![]()
Ulifikiri tutashinda mechi zote tutakazocheza? Hamchelewagi kumtusi kiparaMagazet ya kesho
" Pep gardiola avunja daraja la Stamford bridge kwa kutumia miujiza ya Jesus "
"Pep gardiola awawashia Moto Chelsea na jumla kiboga TT"
"Pep gardiola awapelekea Moto Chelsea na kikosi chote Cha Chelsea kupoteana "
"Pep gardiola awawashia Moto kenge wa blue wa darajan na kuwanywa na Hennessy ya baridi"
![]()

Miujiza ipi? Kwani ni mara ya kwanza Tuchel kufungwa?Magazet ya kesho
" Pep gardiola avunja daraja la Stamford bridge kwa kutumia miujiza ya Jesus "
"Pep gardiola awawashia Moto Chelsea na kumla kiboga TT"
"Pep gardiola awapelekea Moto Chelsea na kikosi chote Cha Chelsea kupoteana "
"Pep gardiola awawashia Moto kenge wa blue wa darajan na kuwanywa na Hennessy ya baridi"
![]()
Mkuu Kama umeangalia mpira Chelsea walikuwa underdog tu ,wamepelekewa Moto kila idara ....







Tuchel ni mtu wa kuadmit makosa. Haya ndio mambo yanamfanya anakuwa the best.Thomas Tuchel:
"Jorginho had some problems, Thiago cannot start. Maybe it is on me, I didn’t make the best choices today."
[via @btsportfootball]