Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu mbona unajitahidi sna kuchambua Mpira umeshindwaje kuona kuwa Jorgino ndio alikuwa weaklink leo?, alipashwa kuwa bench 1st half, Konte kecheza kuziba hayo magap
Hizo clearances alizofanya hukuziona, generally wewe umeona weaklink ipi. Sawa misatke ya goli alifanya jorgionho lakini kuna mipira mingi alizuia. Kante umaarufu wake na siku ukisikia au kuona Kante kacheza kwenye form ni kwenye ball recoveries na ndizo zinazoipa Chelsea ushindi kwa counter attack. Kante without recovery no Kante
 
mkosi wa Toto Tundu unaanzia hapa ni ukweli usio pingika chelsea huwa mnashinda kwa bahati bahati tu game ya leo imeonesha uhalisia wa kiwango chenu kilivyo na bado kipigo ndo kimeanza hivyo.
 
mkosi wa Toto Tundu unaanzia hapa ni ukweli usio pingika chelsea huwa mnashinda kwa bahati bahati tu game ya leo imeonesha uhalisia wa kiwango chenu kilivyo na bado kipigo ndo kimeanza hivyo.
Mbona City naye huwa anashinda kibahayi bahati tu ndiyomaana kalingana points na magoli na Chelsea
 
Hata shot off target pia huna!?View attachment 1952411
Hizo takwimu uchwara mnazitoleaga wapi ninyi Nyumbu
Screenshot_2021-09-25-17-20-16-12.jpg
 
Piga chelwowo hao hahaha nacheka saaaaana
Pigaaaaaa kenge wa bluee nyie .,...


Hili sijui ni timu la wapi ,hao wachambuzi uchwara wanaoisifia chelsea ,Leo sijui wataongea Nini kudadekiii ....


Pelekaaa Moto mpaka Hilo daraja limewaaka Moto. Na kupasuka
 
Yeah mkuu... wamejitahidi... Tusirudie tena kuchezesha mid watatu kwenye game kubwa.... bora waanze wawili mmoja aongezeke baadae...

Bwashee munabahati sana,,,azile nafasi alizopoteza yule dogo yesu, kama ni aguero mngeisoma namba. Bahati yenu wapaki bus aise
 
Hizo save alizofanya hukuziona, generally wewe umeona weaklink ipi. Sawa misatke ya goli alifanya jorgionho lakini kuna mipira mingi alizuia. Kante umaarufu wake na siku ukisikia au kuona Kante kacheza kwenye form ni kwenye ball recoveries na ndizo zinazoipa Chelsea ushindi kwa counter attack. Kante without recovery no Kante
Kante sio tatizo. Tatizo lilikuwa na approach kwa ujumla ya TT haikufanya kz... Huo ndio ukweli! Maana Chelsea ilikuwa na uwezo wa kukaa na mipira lkn approach yao ilikuwa ni kuwaacha city watawale mpira wao wavizie counter attacks tu.... Kitu ambacho kilionekana kutokuzaa matunda kabisa.


Walitakiwa wacheze mpira wao wakianza kwanza kwa kuhakikisha wanampoka city possession na kucheza ktk half ya city.


Na ukiangalia sn jinsi game ilivyo kuwa ni km vile Chelsea alitaka apate matokeo positive lkn si kwa kutumia nguvu sn km walivyo kutana na spurs maana wanaona watakuwa na kz kubwa sn baada ya siku tatu kucheza na Juve tena away.... Kwa hiyo ni km walihitaji kuwa calm little bit lkn wakipata matokeo mazuri.


Mtaona game ya Juve namna Chelsea itakavyo kiwasha.
 
Kante sio tatizo. Tatizo lilikuwa na approach kwa ujumla ya TT haikufanya kz... Huo ndio ukweli! Maana Chelsea ilikuwa na uwezo wa kukaa na mipira lkn approach yao ilikuwa ni kuwaacha city watawale mpira wao wavizie counter attacks tu.... Kitu ambacho kilionekana kutokuzaa matunda kabisa.


Walitakiwa wacheze mpira wao wakianza kwanza kwa kuhakikisha wanampoka city possession na kucheza ktk half ya city.


Na ukiangalia sn jinsi game ilivyo kuwa ni km vile Chelsea alitaka apate matokeo positive lkn si kwa kutumia nguvu sn km walivyo kutana na spurs maana wanaona watakuwa na kz kubwa sn baada ya siku tatu kucheza na Juve tena away.... Kwa hiyo ni km walihitaji kuwa calm little bit lkn wakipata matokeo mazuri.


Mtaona game ya Juve namna Chelsea itakavyo kiwasha.
Game ya leo city hawakuturuhusu kukaa n mpira ndio maan ukiangalia pale mpira anapoanzishiwa christensen o yeyote yule wachezaj wawil wa city tayar washafika


Game ya leo tumecheza mpira mbovu na tulistahil kufungwa
 
Hii ndio city ninayoijua Mimi ,...

Pep akikuamulia win ,win kudadeki huchomoki......



Pigii mitiiiiiiiiii


Kenge wote wa blues sssssssss
Pep akiulizwa kama yuko tayari kurudisha siku nyuma mpaka ile fainali ya cl ashinde yeye moja halafu leo apigwe moja atakubali bila kujiuliza.

Eti Pep akiamua.

Leicester kachukua kombe mbele yake. Chelsea kachukua kombe mbele yake halafu unasema akiamua kushinda anashinda? Si afukuzwe sasa kama akifika fainali anajidondosha
 
Hazard
Willan
Pedro
Odoi

Vs

Ziyech
Pulisic
Odoi.

Kai ni false No.9, kumchezesha pembeni ni kucheza pungufu. Kai sio mchezaji wa kasi, nguvu na chenga kutoka pembeni kukatiza kulia au kushoto kuingia golini na kufunga/Assist

Pulisic kila siku yupo kitandani, tangu atue darajani 2019 hajawahi kucheza full mechi zaidi ya mechi 13 za EPL kwa msimu

EPL ni mbio ndefu jamani, tunamuhitaji Pulisic angalau acheze mechi 28 au 30 za ligi. Sioni Pulisic akifanya hilo.

Labda FA wapitishe sheria itakayomlinda Pulisic akiwa na mpira asichezewe rafu za miguu bali asukumwe kwa mikono

Wakati Ziyech kiwango kimeshuka kwa sasa, Pulisic ndio angeziba pengo, ila ndio huyo yupo kitandani muda wote.

Mount bwana mdogo, timu kubwa kama The BLUES kumtegemea dogo atubebe ni AIBU.

Dogo AMECHOKA sana ametumika mechi mfululizo tangu enzi la Lampard panga pangua, Achwe apumzike na kuendelea kujifunza.

Kai, Ziyech, Odoi, Mount mpaka sasa NO ASSIST TO Lukaku.

Tuchel afanyaje sasa apange viungo 3 (Jog, Kovacic, Kante) au awapange Ziyech, Kai pembeni tucheze pungufu?

Kwa sasa sioni ile safu ya ushambuliaji kule mbele ikitufungia magoli mengi bali namuona Lukaku kuanza kupata uhaba wa magoli.

Mimi naendelea kulia na usajili wa WINGERS Madrisha yajao ya usajili, tukipata Magoli 10+ na Assists 10+ kutoka kwa (LW + RW), itapendeza sana. Hapo LUKAKU lazima abebe Golden Boot
Kai ni false 9?

Kai hana kasi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom