lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,387
- 25,493
Magoli ya kufunga wanayo mengi kuliko sisiKwa anaejua, nataka kujua Nyumbu kwa nn yupo juu yetu. Ni kigezo gani kimetumika?
Wao wana 11 sisi tuna 9
Magoli ya kufunga wanayo mengi kuliko sisiKwa anaejua, nataka kujua Nyumbu kwa nn yupo juu yetu. Ni kigezo gani kimetumika?
Ila si wamefungwa nyingi kuliko sisi.Magoli ya kufunga wanayo mengi kuliko sisi
Wao wana 11 sisi tuna 9
Positioning ya EPL wanaconsider kwanzaIla si wamefungwa nyingi kuliko sisi.
Kinachoangaliwa ni magoal ya kufunga....Ila si wamefungwa nyingi kuliko sisi.
Jamaa km sio miaka 37....truly world classThiago Silva’s masterclass
• 6 clearances
• 4 blocked shots
• 3/4 duels won
• 1 tackle
• 1 interception
• 87% passing accuracy
It’s crazy to think this was his first start since the Champions League final in May! Rolls Royce defender![]()

Mendy anadaka hadi mishale aiseeMendy ni kama Peter Cech alikua anaona New version yake pale Rennes alipotokea yeye
Uefa tuna uwezo mkubwa wa kulitetea taji kama tukifuzu vyema hatua ya makundi na kuhakikisha nafasi ya kwanza inakuwa yetu basi uwezekano wa kulibeba tena taji la uefa upo mikononi mwetu. Maana kipa na beki wameimpruvu haswa kwa hapo TT kapaweza sana. Mbele tayari tuna lukaku ni faita Atari..Mendy pale golini anatisha haswa.
Nikiangalia defensive yetu mabeki na kipa huwa nawazaga UEFA.
Kwa uzuiaji huu mechi za mtoano UEFA tunateleza tuu.
apa ndipo nnapouonaga wenner anatendea kas mbio zake na umuhim wake ndio uu yan anaondoka na mabek wake mtu anabak na open chance kiufup aspofunga yeye anacreate chance kwa wengne ii combo pale mbele itamrudisha kwenye kujiamn kama kocha atampa nafas
Nimependa LUKAKU alivyoharibu sherehe za manyumbu kwa Ronaldo bila LUKAKU tusingelala leo.Pia nitoe pongezi kwa Mendy aisee tumepata kipa kweli kweli.
Jamaa km sio miaka 37....truly world class![]()



Afu jamaa analipwa £52000 Kwa wiki...n thamani kubwa Kwa pesa zetu lkn ni ndogo kulinganisha n wenzie Kwa kazi anayofanya aisee bodi inabidi wamfikirie huyu mwambaUnajua adi sometimes najiuliza ivi huyu mendi anapokuwa golini wanakuwa mendi watatu au wanne. Hapa hakika tuna kipa.

Nadhani jana Lukaku alipohojiwa mojawapo aliyosema ni TT anawataka wachezaji wakirecover mpira wacheze haraka counter kuelekea goli la mpinzani. Kova jana alichofanya ni maelekezo ya bosi, safi sana. Hii kitu ilikuwa haipo kwa Legend wetu FLIle pass ya assist aliyopiga Kovacic zinatakiwa zipigwe kila siku, pass inaua safu mbili za mpinzani.
Joginho, Kovacic na Saul uwanja wa mazoezi wajifunze kupiga pass ndefu.
Kipa hapo alishapigwa chenga, asingekuwa Silva hilo lilikuwa goli la waziMvinyo, world class defenderView attachment 1934387