Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1630210728653.png
 
Ile ilikuwa ni penalty sawa ila sio red card kwa sababu James hakudhamiria kuuzuia kwa mkono kama Taylor alivyodai. Involuntary mpira uligonga goti ukaelekea kwenye mkono
That's also my opinion. Penalty wangepewa lakini red card to James hapana!
 
Timu ambayo huwa inataka ubingwa huwa inaonyesha tabia za kuwa Bingwa na Chelsea Jana imeonyesha hiyo tabia na sifa ya kuwa Bingwa!


Hili kombe la EPL msimu huu lazima lije darajani wataka wasitake wafanye hujuma zozote kombe tunalitaka darajani!

Na wakizidi kutuchokoza na kutukera tutapambana mpk nje ya uwanja!
 
Yote kwa yote wachezaji wetu wamecheza vizuri sana, vile ndio bigwa anapaswa kucheza. Wachezaji inaonyesha kuna kitu wanataka, sasa hasira zote tunahamishia kwa Villa.
Villa anakufa 3 bila na hiv JT kaondoka
 
Yaan timu ikishakuw kwenye pressure bas ye n hamna jipya tena.. kuna mda anacheza pouw saana leo nadhan kante alikuw 50% ya performance yake.. thatx why tumeshambuliwa sana.. kova kw dk alizocheza kaperforme vzur ..mount lukaku na kai wanatakiw kuzoeana zaid ili wasipishane kwenye movement inatakiw one chance one goal.. ngoja tuone combination ya werner na lukaku mbele
Hiyo combination ndio nayoisubilia kwa sana
 
Ila jana tackits zake zilishindwa kufanya kazi kisawasawa
Hapana alicheza vizuri na alitegeneza faulo zilio hitajika ku-dilei mpira, sio kila mpira aupeleke mbele alijua tuko pungufu kwahiyo alicheza kuligana na hali yetu mimi nilimkubali sanaa takitikisi zake.....ni bonge la middle field wachache wata muelewa tu.
 
Shule kidogo, maana naona watu mnafarijiana humu


Swala siyo kuwa deliberate(makusudi) au la,
Ila denying a clear goal scoring chance either kwa foul au handball (iwe ndani ya box au nje) ni straight red card.
Wakuu kwani mmesahau ule umeme alokula Christensen msimu uliopita mechi ya Liverpool
 
Jana amefanya kazi kubwa kwenye kukaba baada ya kuwa pungufu, kila mahali alikuwa anafuata mpira kukaba.

Joginho anakuwa na jukumu la kuchezesha timu Kante anapokuwepo.

Kovacic sio Kante, Kovacic akiwepo uwanjani Joginho anafanya kazi kukaba na ndio maana mpira unavurugika pale katikati na ulinzi tunashambuliwa ovyo ovyo, labda tupaki basi kama jana kufinya space
TT Kocha alitulia sana kimbinu baada ya wachezaji wa Chelsea FC kuwa pungufu.

Nikakumbuka Liverkuku walitubamiza baada ya kadi nyekundu chini ya FL.

Bila shaka Kocha TT alisahihisha makosa.
 
Kaokoa Mpira kwa mkono kabisa ,mkono umefuata mpira ,na ule mpira ulikuwa unaingia golini ....


Kwanini asipewe red card ,kwanza ilitakiwa ale na makofi juu ....

Jitu zima linashindwa kucheza mpira linaanza kucheza rede uwanjan ...
Acha uzwazwa wewe! Yani wewe una akili kuliko hata TT ambaye naye kalalamikia maamuzi ya huyo Refa wenu mliomnunua Man City ili aje awafanyie hujuma Chelsea FC mabingwa wa ulaya?
 
Hii imekaaje kwa Reece james na Cesar Azpilicueta wote kuanza kwa pamoja uwanjani? Au cesar amekua centre-back
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom