Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Acha uzwazwa wewe! Yani wewe una akili kuliko hata TT ambaye naye kalalamikia maamuzi ya huyo Refa wenu mliomnunua Man City ili aje awafanyie hujuma Chelsea FC mabingwa wa ulaya?
Acha kukaza fuvu ,kaangalie marudio vizur ,mpira ulikuwa unaingia kabisa golin baada ya kugonga goti lake ,then akasogeza mkono maksudi kuuzuia ....


Mkono wake umemove kabisa kuzuia mpira ,mbona kila kitu kinaonekana ,yule alitakiwa ale na makofi ,red card haitoshi kabisa ...
 
Shule kidogo, maana naona watu mnafarijiana humu


Swala siyo kuwa deliberate(makusudi) au la,
Ila denying a clear goal scoring chance either kwa foul au handball (iwe ndani ya box au nje) ni straight red card.
Wakuu kwani mmesahau ule umeme alokula Christensen msimu uliopita mechi ya Liverpool
Christesen alimkwatua mtu wa mwisho... unafananishaje na hiyo ya jana?
 
Cha muhimu nikuomba majeruhi tuepuke nayo, na hii form tuliyonayo tuendelee kuwa nayo,

Kingine comb ya mount,havertz n lukaku inabidi wazoeane haraka kwenye movement zao, jana kuna chanc kama 2 hivi havertz badala ya kumuwekea lukaku akaleta marembo, nyingine lukaku akamuwekea mount badala ya havertz

So far wamecheza vizuri uwepo wa lukaku kule mbele unawafanya mabeki wa tim pinzan kuacha magap kwa kina mount n havertz pamoja na wingback zetu
 
Kiukweli nitakuwa mchoyo wa fadhira bila kumpongeza Alonso wakati amepangwa kwenye game ya Jana nilihisi sio sahihi kwa hiyo game kutokana na uwezo wake wakushambulia zaidi kuliko kukaba but he proved me wrong, kwa hizi game mbili alizocheza ameimprove Sana kwenye defensive na Jana kacheza vizuri Sana.Tumekuwa tukiwapa Sifa Rudiger, christensen, Kovacic n.k tunamsahau huyu mtu
 
Bado hawajazoeana, kuna pasi moja jana yaani Havertz aliudhi, Lukaku yuko kwenye golden space ya kufunga yeye akaremba kama ile ya james na arsenal second chance iliyopotea tu. In TT we trust, atawafanya wazoeana tu na nadhani wakati wa kutadhmini mchezo hayo makosa wanayapitia ili wayarekebishe next game
Sijui aliwaza nini hapa
20210829_115021.jpg
 
Mapema sana kuhukumu, tumpe muda.
Halafu Lukaku sio mchezaji wa kuwatoka kihivyo mabeki, na pia sio mchezaji wa kufanya drible kama Grealish au Hazard
Lukaku yeye ni pure no. 9, anapata chance anaitumia kisawasawa. Hajapata chance saa nyingine mtamuona kama hachezi.
Wachezaji wa Chelsea ndio wenye makosa. Golden chances zinatokea wanaremba kama zamani. Wajue sasa tunaye na. 9 wampikie yeye ashin dwe kumalizia

Havertz jana pamoja na kufunga goli zuri, tunamshukuru kwa hilo ila aliboa pale alipoacha kumsogezea Lukaku mpira kwenye ile counter moja
 
Mendy angecheza ile penati liver wangejiharishia, mzigo ungelala 1bila

Hili jamaa linadaka sio mchezo, tunamshukuru Lampard kwa huu usajili.

View attachment 1914282
Mmh Ila Kama sitakuwa Sawa nahitaji kusahihishwa kumbukumbu zangu nakumbuka km lampard alikuwa anamtaka nick Pope wa Burnley... Ila Petr cech alimshauri aachane n pope amchukue Mendy kutoka ufaransa...so naona wakushauriwa zaidi hapo n cech...maana lampard alikuwa anataka kutengeneza waingereza kibao ...kuna wakati pia alimtaka John stones WA city
 
Mm ni mmoja wa shabiki mkubwa wa Mendy. Namkubali sana Mendy zile saves zake huwa naburudika sana jinsi anavyo zifuatazo, kama jana nili enjoy sana walahi.
Mendy angecheza ile penati liver wangejiharishia, mzigo ungelala 1bila

Hili jamaa linadaka sio mchezo, tunamshukuru Lampard kwa huu usajili.

View attachment 1914282
 
Kaka jana ndio kwanza mechi ya 2 ya Lukaku.

Lukaku bado hajacheza full match combination na:-

Harvetz - Lukaku - Ziyech/Pulisic/Odoi

Pulisic - Lukaku- Mount/Ziyech/Odoi

Werner - Lukaku - Ziyech/Kai/Mount/Pulisic/Odoi

TT mechi 2 amejaribu combination ya Lukaku, Kai na Mount na sub ya Ziyech na Werner mechi ya kwanza.

Sioni cha kumlaumu Lukaku hapa, kocha anaendelea kutafuta combination nzuri pale mbele.

Tena usije ukashangaa combination ya Werner + Lukaku ikaja kuwa moto.

Mashabiki tutulie tumuachie TT atafanyie kazi hizo combination hapo mbele.
Jana Antony Taylor katualibia ushindi na mbinu mpya kutoka kwa king TT
 
Shule kidogo, maana naona watu mnafarijiana humu


Swala siyo kuwa deliberate(makusudi) au la,
Ila denying a clear goal scoring chance either kwa foul au handball (iwe ndani ya box au nje) ni straight red card.
Wakuu kwani mmesahau ule umeme alokula Christensen msimu uliopita mechi ya Liverpool
Inawezekana uko sawa kiongozi
Hili swala wana Chelsea wenzangu tuliache kwa sababu nimepitia Law no. 12 ya IFAB Laws of the Game 2021-22 haisemi delibarately au la
Bali inasema denying goal scoring opportunity by handball mchezaji anatolewa nje ya uwanja
Kwa hiyo swala hapa tunatakiwa kujibu ni
Je James jana alishika mpira au hajashika
Kama jibu ameshika basi Taylor alikuwa sawa

SENDING-OFF OFFENCES

A player, substitute or substituted player who commits any of the following offences is sent off:
  • denying the opposing team a goal or an obvious goal-scoring opportunity by a handball offence (except a goalkeeper within their penalty area)
  • denying a goal or an obvious goal-scoring opportunity to an opponent whose overall movement is towards the offender's goal by an offence punishable by a free kick (unless as outlined below)
  • serious foul play
  • biting or spitting at someone
  • violent conduct
  • using offensive, insulting or abusive language and/or action(s)
  • receiving a second caution in the same match
  • entering the video operation room (VOR)
A player, substitute or substituted player who has been sent off must leave the vicinity of the field of play and the technical area.
 
Jamani mnamuangalua Conor Callagher?

Jana game ya Crystal palace dogo katia goal 2 nzuri sana.

Akiendelea kuwasha moto vile akina mason mount wajitafakari msimu ujao.
 
Jamani mnamuangalua Conor Callagher?

Jana game ya Crystal palace dogo katia goal 2 nzuri sana.

Akiendelea kuwasha moto vile akina mason mount wajitafakari msimu ujao.
Aweke consistency tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom