Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Beki Marcos Alonso amefunga goli katika kila msimu wa ligi kuu England akiwa na Chelsea.
Msimu wa 2016/2017 mechi 31 magoli 6,
Msimu wa 2017/2018 mechi 33 magoli 7,
Msimu wa 2018/2019 mechi 31 magoli 2,
Msimu wa 2019/2020 mechi 18 magoli 4,
Msimu wa 2020/2021 mechi 13 magoli 2
Msimu huu 2021/2022 mechi 1 goli 1.
Heshima kwake beki wetu kwa rekodi hiyo.
 
Tammy Abraham has accepted to join AS Roma, done deal! The agreement has been reached with the English striker as per @DiMarzio. [emoji837] #ASRoma #CFC

Chelsea will receive €40m on permanent deal paid in installments. Abraham will sign his contract after medicals in the next days.
Eventually Bolingol secured number 9 shirt 👏 Hope Tammy he will return after five years Of Bolingol 🙏
 
20210627_161344.jpg
 
Eventually Bolingol secured number 9 shirt [emoji122] Hope Tammy he will return after five years Of Bolingol [emoji120]
Abraham > Roma deal details. [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

  • Tammy will be in Rome today 1pm.
  • Buy back clause for Chelsea: €80m valid from June 2023.
  • AS Roma will sign him on permanent deal [NO loan].
  • Price will be €40m plus add ons paid in installments.
  • Salary €4/5m net per season until 2026.
 
Premier League TECHNICAL OBSERVATION

FT: Chelsea FC 3-0 Crystal Palace.
⚽️ M.Alonso.
⚽️ C. Pulišić.
⚽️ T.Chalobah.

✅3 Goals.
✅3 Points.

We are done 💪..

Tactically Chelsea FC waliwin game kwenye kila eneo la uwanja defensively, midfield and attacking area. Mfumo wa 3421 imekuwa silaha bora zaidi kwa Chelsea FC, timu inacheza kwa utulivu wa hali ya juu. Technically Chelsea inacheza defending game kwa kutake possession kuanzia chini, ikimtukia Jorginho dimba la chini. Chelsea ni ngumu kuwafungua coz wanacheza kwa kukaribiana sana baina ya mchezaji na mchezaji na kutoka mstari mmoja hadi mwingine wapo close sana na wanazuia kwa ushirikiano.

Crystal Palace walishindwa kujipapatua mbele ya vijana wa Tuchel, mbinu za Patrick Vieira zilishindwa kuwork out coz the Blues walitawala maeneo yote matatu ya uwanja, kwani kila walipojaribu kuanzisha shambulizi walizuiliwa kwa kutovuka mstari wa kati.

Kwenye midfield zone upande wa Chelsea, Jorginho aliboss the midfield kwani alizunguka eneo lote la kati la uwanja alitembea pande zote kulia na kushoto, chini na juu, aliweza kudominte one hilo kwa pasi zake fupi fupi maana kuna muda alitumika kama ukuta kugongeshea mpira (wall pass/one two), aliwavuruga viungo wa Palace kwa movements zake alizokuwa akizifanya, alitengeneza nafasi kwa kupiga mipira mirefu iliyovuka mstari wa mabeki na kutua mingongoni mwao, mtu aliyefaidika na mipira hii ni Marcos Alonso ni kama walijuana vile.

Christian Pulišić alipewa jukumu la kuichezesha safu ya ushambuliaji ya Chelsea "Playmaking role" alicheweza kuwachezesha vema kwani kuna nafasi kadhaa alitengeneza, alipiga through balls, alidribble na kuwin fouls kadhaa.

Chalobah impressive.🙌
Marcos Alonso Wow. 💪
Mount nice. 🖐

Werner utulivu bado unamsumbua, kuna muda alipata mpira lakini hakuwa na maamuzi sahihi nini afanye kwa muda huo, finishing bado.
 
Premier League TECHNICAL OBSERVATION

FT: Chelsea FC 3-0 Crystal Palace.
[emoji460]️ M.Alonso.
[emoji460]️ C. Pulišić.
[emoji460]️ T.Chalobah.

[emoji736]3 Goals.
[emoji736]3 Points.

We are done [emoji123]..

Tactically Chelsea FC waliwin game kwenye kila eneo la uwanja defensively, midfield and attacking area. Mfumo wa 3421 imekuwa silaha bora zaidi kwa Chelsea FC, timu inacheza kwa utulivu wa hali ya juu. Technically Chelsea inacheza defending game kwa kutake possession kuanzia chini, ikimtukia Jorginho dimba la chini. Chelsea ni ngumu kuwafungua coz wanacheza kwa kukaribiana sana baina ya mchezaji na mchezaji na kutoka mstari mmoja hadi mwingine wapo close sana na wanazuia kwa ushirikiano.

Crystal Palace walishindwa kujipapatua mbele ya vijana wa Tuchel, mbinu za Patrick Vieira zilishindwa kuwork out coz the Blues walitawala maeneo yote matatu ya uwanja, kwani kila walipojaribu kuanzisha shambulizi walizuiliwa kwa kutovuka mstari wa kati.

Kwenye midfield zone upande wa Chelsea, Jorginho aliboss the midfield kwani alizunguka eneo lote la kati la uwanja alitembea pande zote kulia na kushoto, chini na juu, aliweza kudominte one hilo kwa pasi zake fupi fupi maana kuna muda alitumika kama ukuta kugongeshea mpira (wall pass/one two), aliwavuruga viungo wa Palace kwa movements zake alizokuwa akizifanya, alitengeneza nafasi kwa kupiga mipira mirefu iliyovuka mstari wa mabeki na kutua mingongoni mwao, mtu aliyefaidika na mipira hii ni Marcos Alonso ni kama walijuana vile.

Christian Pulišić alipewa jukumu la kuichezesha safu ya ushambuliaji ya Chelsea "Playmaking role" alicheweza kuwachezesha vema kwani kuna nafasi kadhaa alitengeneza, alipiga through balls, alidribble na kuwin fouls kadhaa.

Chalobah impressive.[emoji119]
Marcos Alonso Wow. [emoji123]
Mount nice. [emoji870]

Werner utulivu bado unamsumbua, kuna muda alipata mpira lakini hakuwa na maamuzi sahihi nini afanye kwa muda huo, finishing bado.
The best team in Europe
 
Tammy Abraham has accepted to join AS Roma, done deal! The agreement has been reached with the English striker as per @DiMarzio. [emoji837] #ASRoma #CFC

Chelsea will receive €40m on permanent deal paid in installments. Abraham will sign his contract after medicals in the next days.
Chelsea will have €80m buyback option on the 23-year-old, which can be triggered in the summer of 2023.
 
Abraham > Roma deal details. [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

  • Tammy will be in Rome today 1pm.
  • Buy back clause for Chelsea: €80m valid from June 2023.
  • AS Roma will sign him on permanent deal [NO loan].
  • Price will be €40m plus add ons paid in installments.
  • Salary €4/5m net per season until 2026.
Abraham atafanikiwa sana kule Itally, just kama Lukaku na atarudi in 2 or 3 years
 
Beki Marcos Alonso amefunga goli katika kila msimu wa ligi kuu England akiwa na Chelsea.
Msimu wa 2016/2017 mechi 31 magoli 6,
Msimu wa 2017/2018 mechi 33 magoli 7,
Msimu wa 2018/2019 mechi 31 magoli 2,
Msimu wa 2019/2020 mechi 18 magoli 4,
Msimu wa 2020/2021 mechi 13 magoli 2
Msimu huu 2021/2022 mechi 1 goli 1.
Heshima kwake beki wetu kwa rekodi hiyo.
Narudia kusema mimi namuona Alonso kama winga zaidi ya beki, anajua kutengeneza na kufanya mashambulizi
 
Premier League TECHNICAL OBSERVATION

FT: Chelsea FC 3-0 Crystal Palace.
⚽️ M.Alonso.
⚽️ C. Pulišić.
⚽️ T.Chalobah.

✅3 Goals.
✅3 Points.

We are done 💪..

Tactically Chelsea FC waliwin game kwenye kila eneo la uwanja defensively, midfield and attacking area. Mfumo wa 3421 imekuwa silaha bora zaidi kwa Chelsea FC, timu inacheza kwa utulivu wa hali ya juu. Technically Chelsea inacheza defending game kwa kutake possession kuanzia chini, ikimtukia Jorginho dimba la chini. Chelsea ni ngumu kuwafungua coz wanacheza kwa kukaribiana sana baina ya mchezaji na mchezaji na kutoka mstari mmoja hadi mwingine wapo close sana na wanazuia kwa ushirikiano.

Crystal Palace walishindwa kujipapatua mbele ya vijana wa Tuchel, mbinu za Patrick Vieira zilishindwa kuwork out coz the Blues walitawala maeneo yote matatu ya uwanja, kwani kila walipojaribu kuanzisha shambulizi walizuiliwa kwa kutovuka mstari wa kati.

Kwenye midfield zone upande wa Chelsea, Jorginho aliboss the midfield kwani alizunguka eneo lote la kati la uwanja alitembea pande zote kulia na kushoto, chini na juu, aliweza kudominte one hilo kwa pasi zake fupi fupi maana kuna muda alitumika kama ukuta kugongeshea mpira (wall pass/one two), aliwavuruga viungo wa Palace kwa movements zake alizokuwa akizifanya, alitengeneza nafasi kwa kupiga mipira mirefu iliyovuka mstari wa mabeki na kutua mingongoni mwao, mtu aliyefaidika na mipira hii ni Marcos Alonso ni kama walijuana vile.

Christian Pulišić alipewa jukumu la kuichezesha safu ya ushambuliaji ya Chelsea "Playmaking role" alicheweza kuwachezesha vema kwani kuna nafasi kadhaa alitengeneza, alipiga through balls, alidribble na kuwin fouls kadhaa.

Chalobah impressive.🙌
Marcos Alonso Wow. 💪
Mount nice. 🖐

Werner utulivu bado unamsumbua, kuna muda alipata mpira lakini hakuwa na maamuzi sahihi nini afanye kwa muda huo, finishing bado.
Plus first clean sheet for Mendy, all defenders played yesterday and Chelsea
 
  1. Tammy Abraham confirmed anaenda AS Roma kwa Mil 40
  2. Batsuayi naye anaondoka kwa mil 9 kwenda Basiktas - confirmed
  3. Tayari hapo tunazo mil 49 kwa ajili ya dili la Kounde
 
Hiyo hela bora tumchukue Tchouameni, tuachane na Kounde.
Kocha anamtaka Kounde na yuko serious
Inawezekana hata akibaki Chalobah bado tukamuhitaji Kounde kama Zouma na Emerson watauzwa

Mabeki tutakaokuwa nao msimu huu

CB
  1. Rudiger
  2. Christensen
  3. Silva
  4. Azpilicueta (anaweza kucheza CB na Wing-back)
  5. ??? Kounde
Wing-backs
  1. James (anaweza kucheza CB na Wing-back)
  2. Chalobah (anaweza kucheza DM, CB na Wing-back)
  3. Chilwell
  4. Alonso
Tunahitaji Backup CB wawili katika back 3 na kama unavyoona yuko mmoja tu
Kounde ni wa lazima labda kama Zouma hatauzwa
 
  1. Ross Barkley hakuuzwa
  2. Hakutolewa mkopo
  3. Hakupewa namba na namba yake kuchukuliwa na Kovacic
  4. Ndio tuseme ndoto zake za kuja kuwa the next Lampard zimekomea hapo??
1629020313950.png

Chelsea squad numbers 2021/22

  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Antonio Rudiger
  3. Marcos Alonso
  4. Andreas Christensen
  5. Jorginho
  6. Thiago Silva
  7. N’Golo Kante
  8. Mateo Kovacic
  9. Tammy Abraham ©ROM Lukaku
  10. Christian Pulisic
  11. Timo Werner
  12. Ruben Loftus-Cheek
  13. Marcus Bettinelli
  14. Trevoh Chalobah
  15. Kurt Zouma
  16. Edouard Mendy


  17. Mason Mount
  18. Callum Hudson-Odoi
  19. Ben Chilwell
  20. Hakim Ziyech

  21. Reece James


  22. Tino Anjorin
  23. Cesar Azpilicueta
  24. Kai Havertz



  25. Emerson Palmieri


  26. Lucas Bergstrom







  27. Ethan Ampadu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom