Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

City wameishiwa na mbinu kabisa, akina Sterling wakikosaga mbinu kazi ni kujirusha rusha tu
Wanakaa na mpira kama walicheza na Chelsea na hakuna wanachoifanyia huo mpira
Kusema City ni Title contender ni kosa la jinai, hakuna timu hapo
Mwaka jana walitumia fursa kwamba timu za top 4 hazikuwa fit kushindana tofauti na mwaka huu
Mzee hii kauli yako sio realistic kabisa city ndio timu yenye kikosi kipana zaidi na uwezo wa kocha wao unajulikana mechi moja ya kwanza inaweza wapatia advantages kwenye soko. Huwezi waexclude hata kwa game 10 ikiwa tofauti ya alama ni chini ya 10
 
Mzee hii kauli yako sio realistic kabisa city ndio timu yenye kikosi kipana zaidi na uwezo wa kocha wao unajulikana mechi moja ya kwanza inaweza wapatia advantages kwenye soko. Huwezi waexclude hata kwa game 10 ikiwa tofauti ya alama ni chini ya 10
Huyo ni mihemko tu ,hajui safari ya game 38 kuchukua EPL ,hakuna analolijua .....
 
Kujenga uwanja wala sio ngumu, plan ya kujenga ilikuwepo na makubaliano yalishafanyika, kilichozuia ni mlipuko wa Corona na uchumi ukayumba na suala hilo likaahirishwa kwa muda
Pia mchakato wa kununua sehemu ya hisa zilizoko kwa Chelsea Pitch Owner uko mbioni japo imechukua muda mrefu kwa sababu baadhi ya wenye hisa wamekataa kuuza hisa zao
Plan iliyokuwepo tangu 2011 ni kuhama pale lakini ingeilazimu timu ibadili jina kwa hiyo option iliyochukuliwa ni kununua hisa zilizoko kwa shareholder
Sio kwamba Chelsea kama kalbu haimiliki kiwanja. Inamiliki lakini ikishirikiana na wana hisa wengine na hivyo Chelsea kama klabu haina mamlaka ya kufanya maamuzi wenyewe
Hali ya uchumi ikitengemaa naamini aidha uwanja utajengwa chini ya makubaliano maalum au Chelsea watawashawishi hao wenye hisa wauze hisa zao umiliki wa kiwanja ubaki kwa klabu kwa asilimia 100
bro Chelsea walipewa kibali cha kujenga uwanja mpya but hicho kibali kilikuw ni ujaenzi wa palepale Stamford na process ilikuwa ya miak mnne adi uwanja ukamilike
Kuhus ishu ya kiuchumi ni kwel ilikwamisha ujenzi wa uwanja mpya
But Chelsea pitch owners hawakukubali uwanja uamishwe ,ata ukiangalia website yao utaon wameeleza sababu zao
 
Kujenga uwanja wala sio ngumu, plan ya kujenga ilikuwepo na makubaliano yalishafanyika, kilichozuia ni mlipuko wa Corona na uchumi ukayumba na suala hilo likaahirishwa kwa muda
Pia mchakato wa kununua sehemu ya hisa zilizoko kwa Chelsea Pitch Owner uko mbioni japo imechukua muda mrefu kwa sababu baadhi ya wenye hisa wamekataa kuuza hisa zao
Plan iliyokuwepo tangu 2011 ni kuhama pale lakini ingeilazimu timu ibadili jina kwa hiyo option iliyochukuliwa ni kununua hisa zilizoko kwa shareholder
Sio kwamba Chelsea kama kalbu haimiliki kiwanja. Inamiliki lakini ikishirikiana na wana hisa wengine na hivyo Chelsea kama klabu haina mamlaka ya kufanya maamuzi wenyewe
Hali ya uchumi ikitengemaa naamini aidha uwanja utajengwa chini ya makubaliano maalum au Chelsea watawashawishi hao wenye hisa wauze hisa zao umiliki wa kiwanja ubaki kwa klabu kwa asilimia 100
Kwa jins navyoelewa swala la corona halikusababisha bali ugomv wa uk n russia ndio uliomuaffect Abramovich na plan kusitishwa
 
This is our city ...

Tulishapigwa goli 5 na lecister city media zote UK zikasema city sio title contender ,sembuse game moja ?...

Any way keep watching ,EPL is long journey

Mkuu mambo vipi?

Jana si ulisema moto utakayompelekea Spurs siyo ya nchi hii imekuaje tena wakakukaza bao moja?
 
Mkuu mambo vipi?

Jana si ulisema moto utakayompelekea Spurs siyo ya nchi hii imekuaje tena wakakukaza bao moja?
Cha mhimu ni kwamba hakuna timu ambayo haitapoteza ,ni swala la muda tu ...

Game ya spurs inamwamusha pep ,alikuwa usingizin ,kama kuna mapuuza alikuwa analeta sasa anaenda kuweka userious ...
 
Kwa jins navyoelewa swala la corona halikusababisha bali ugomv wa uk n russia ndio uliomuaffect Abramovich na plan kusitishwa
YES, visa ya bosi ilimfanya atie kibindoni bil 1 alizotenga kujenga uwanja, na kibali kikaisha muda wake Machi 31 2020
Kibali kilipokaribia kuisha muda wake waliongeza muda ila nao umeshapita klwa sababu walsihindwa kupata funds nje na pochi ya bosi
Sasa haijulikani itaanza lini tena

Suala la Corona lilikuja baadaye walipotaka kuraise funds penginepo mbali na pesa za bosi
 
Screenshot_20210816-153753_Instagram.jpg
 
Cha mhimu ni kwamba hakuna timu ambayo haitapoteza ,ni swala la muda tu ...

Game ya spurs inamwamusha pep ,alikuwa usingizin ,kama kuna mapuuza alikuwa analeta sasa anaenda kuweka userious ...

Ataamka mpaka lini?🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️ nakumbuka toka tumewapiga FA, Ligi adi UEFA kauli yako ni hiyo🤪🤪🤪 mara ohoo next gemu mtaona moto mlivyokutana na lescister pia ukasema ngoja spurs waje waone moto wetu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Aiyaa tunasubiri moto wa Gadiola
 
‘I’m a new version of that player from before. I’ve evolved and the team that I’m joining is a very strong team so now we just have to prove it on the pitch by challenging for the Premier League.’

Nimependa hapa let us expect the good ones only to come out of him
 
Ataamka mpaka lini?🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️ nakumbuka toka tumewapiga FA, Ligi adi UEFA kauli yako ni hiyo🤪🤪🤪 mara ohoo next gemu mtaona moto mlivyokutana na lescister pia ukasema ngoja spurs waje waone moto wetu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Aiyaa tunasubiri moto wa Gadiola
Ligi ya msimu huu naona team kubwa zikitembeza moto sana kwa team ndogo na ni Nahisi Kama mechi baina ya timu Washindani ndo zitakazoamua nani kuwania ubingwa na kwa city kupoteza game ya kwanza na team Washindani naona dalili nzuri kwetu The Blues
 
‘I’m a new version of that player from before. I’ve evolved and the team that I’m joining is a very strong team so now we just have to prove it on the pitch by challenging for the Premier League.’

Nimependa hapa let us expect the good ones only to come out of him

Ngoja tusubiri kidogo. Natamani next match tumfunge arsenal hata goli sita yaani basi tu
 
Ligi ya msimu huu naona team kubwa zikitembeza moto sana kwa team ndogo na ni Nahisi Kama mechi baina ya timu Washindani ndo zitakazoamua nani kuwania ubingwa na kwa city kupoteza game ya kwanza na team Washindani naona dalili nzuri kwetu The Blues
Kwa historia ya EPL timu ikipoteza mchezo wa kufungua dimba, ni ngumu sana kuja kushinda ligi kwa sababu ya kisaikolojia, City watapoteza mechi nyingi msimu huu, timu zinazojua kupata ushindi kup[itia counter zitachukua point sana kwa city.
 
Cha mhimu ni kwamba hakuna timu ambayo haitapoteza ,ni swala la muda tu ...

Game ya spurs inamwamusha pep ,alikuwa usingizin ,kama kuna mapuuza alikuwa analeta sasa anaenda kuweka userious ...
Lakini me sishangai City kufingwa na Tottenham, maana ni kama wamewaoweni vile, kila mukikutana nao, chupi juu ya kamba.
 
Kwa historia ya EPL timu ikipoteza mchezo wa kufungua dimba, ni ngumu sana kuja kushinda ligi kwa sababu ya kisaikolojia, City watapoteza mechi nyingi msimu huu, timu zinazojua kupata ushindi kup[itia counter zitachukua point sana kwa city.
Last season saton walitembeza moto mpaka kuongoza league zaidi ya wiki mbili ...city tulikuwa nafasi ya 16


Spurs akaongoza league mpaka nikajua anaenda kuchukua ,walikuwa wanachuana na Liverpool ile game ,kama mnakumbuka ,hadi firmino akafunga na Liverpool kukaa kieleni huku media zote zikisema Liverpool anamotoo mkali anaenda kunyanyua ndoo ....kila mtu aliona kilichotoea .....


Liverpool akaongoza league mpaka kila mtu akasema anaenda kuchukua EPL Mara ya pili ...muda huo city tunakula vipigo ,kula goli tano na lecister city ...

West ham alikuwa hakamatiki kabisa ...

Lecister city alikuwa ni tishioo ,hakutoka top four mpaka April ,na hakuna aliyekuwa anajua kama angemaliza league out of top four .....


Man utd akaongoza league zaidi ya wiki 3 ....UK media zote walisema city sio title contender ...

Nawakumbusha tu mpaka chrismas man city tulikuwa hatujakaa pale juu ...Christmas Liverpool alikuwa akaongoza league ,na kwa data za EPL zikawa zinaonesha anayeongoza league chrismas ndio anabeba EPL ...


City alivoongoza league ,gari liliwaka lilikuja kuzima may ,epl imeshatua etihad....



Kwa watu tunaofuatilia Mpira tunajua what is epl ,and how is going ,...


Hawa mashabiki vilopolopo wa naoangalia Mpira liverscore na kuja kuvimba hapa jf ....

Keep watching ,nasema keep watching this is epl ....
 
Last season saton walitembeza moto mpaka kuongoza league zaidi ya wiki mbili ...city tulikuwa nafasi ya 16


Spurs akaongoza league mpaka nikajua anaenda kuchukua ,walikuwa wanachuana na Liverpool ile game ,kama mnakumbuka ,hadi firmino akafunga na Liverpool kukaa kieleni huku media zote zikisema Liverpool anamotoo mkali anaenda kunyanyua ndoo ....kila mtu aliona kilichotoea .....


Liverpool akaongoza league mpaka kila mtu akasema anaenda kuchukua EPL Mara ya pili ...muda huo city tunakula vipigo ,kula goli tano na lecister city ...

West ham alikuwa hakamatiki kabisa ...

Lecister city alikuwa ni tishioo ,hakutoka top four mpaka April ,na hakuna aliyekuwa anajua kama angemaliza league out of top four .....


Man utd akaongoza league zaidi ya wiki 3 ....UK media zote walisema city sio title contender ...

Nawakumbusha tu mpaka chrismas man city tulikuwa hatujakaa pale juu ...Christmas Liverpool alikuwa akaongoza league ,na kwa data za EPL zikawa zinaonesha anayeongoza league chrismas ndio anabeba EPL ...


City alivoongoza league ,gari liliwaka lilikuja kuzima may ,epl imeshatua etihad....



Kwa watu tunaofuatilia Mpira tunajua what is epl ,and how is going ,...


Hawa mashabiki vilopolopo wa naoangalia Mpira liverscore na kuja kuvimba hapa jf ....

Keep watching ,nasema keep watching this is epl ....
Umechambua vyema, ushauri tu wahi haraka ktk uzi wenu wa Man City maana wadau wote wameukimbia baada ya kufungwa na Chelsea mara 3 mfululizo kwa wiki 2 pekee na TT Bingwa wa mbinu za matokeo chanya ya mechi za kibabe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom