OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Habaha pale shetani na malaika wanapokubaliana kumshinda Mwana wa Adam..Tuko pamoja mkuu, kuhakikisha blouse inavuliwa pale darajani.
Habaha pale shetani na malaika wanapokubaliana kumshinda Mwana wa Adam..Tuko pamoja mkuu, kuhakikisha blouse inavuliwa pale darajani.
Hahaa Jamaa wanajiliwazaHabaha pale shetani na malaika wanapokubaliana kumshinda Mwana wa Adam..
Hawa ni tishio kwa Man u na Arsenal tuMusije muka kimbiana humu!
Villareal sio watu wazuri, ohoo!
Wewe kitoabu usije kukimbia wewe msimu huu atuachi kitu tunaenda kubeba vikombe vyoteMusije muka kimbiana humu!
Villareal sio watu wazuri, ohoo!
Mr . Moreno unasemaje hapo ulipo?Narudia tena, musije kimbiana humu, ohoo!
Kuna kiumbe kinaitwa Moreno, hana maana kabisa.
Sawa tukae mpaka mwishoWalee wa Villarreal tujuane mapema kabisa ....
Pigaaa hawa kuku wa blue bahariiiiiiiii
Mume tangulia na baiskel ya barafu juani.Mr . Moreno unasemaje hapo ulipo?
Nilivyowaona Challobah na Zouma nimesikia kitu kizito kimeingia kichwani puuuHichi kikosi hichiii ..mh! Tuchel amewaza nini kumuamini Challobah??
. But Ngoja tumwamini aliyewapangaHahahaha ci unajua yote yalipigwa. Huyu uefa huyu Europa. ..kwa hiyo acha yaliwazane..Hahaa Jamaa wanajiliwaza
Labda Tuchel ana mpango nao msimu huu aise..ngoja tuangalie performance Hapa..Nilivyowaona Challobah na Zouma nimesikia kitu kizito kimeingia kichwani puuu. But Ngoja tumwamini aliyewapanga