Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachambuzi wanasema msimu uliopita Mendy alionyesha kiwango cha thamani ya Pound £98M japo alinunuliwa kwa Pound £22M pekee huku akilipwa mshahara mdogo kuliko wachezaji wote kwenye first eleven ya Chelsea

Ubora wa Mendy ulichangiwa na umri pamoja na ukomavu wake ndani ya uwanja, Mendy alisajiliwa Chelsea akiwa na miaka 27

Hivyo hivyo kwa Lukaku, anakuja Chelsea akiwa na miaka 28, hivyo anakuja akiwa amekomaa na mwenye uzoefu kama Mendy, wanachelsea hawatakiwi kuwa na wasiwasi wowote kuhusu ubora wa Lukaku, wategemee kuona ubora halisi wa Lukaku wa sasa mwenye uzoefu uliotukuka wa kufumania nyavu
 
Wachambuzi wanasema msimu uliopita Mendy alionyesha kiwango cha thamani ya Pound £98M japo alinunuliwa kwa Pound £22M pekee huku akilipwa mshahara mdogo kuliko wachezaji wote kwenye first eleven ya Chelsea

Ubora wa Mendy ulichangiwa na umri pamoja na ukomavu wake ndani ya uwanja, Mendy alisajiliwa Chelsea akiwa na miaka 27

Hivyo hivyo kwa Lukaku, anakuja Chelsea akiwa na miaka 28, hivyo anakuja akiwa amekomaa na mwenye uzoefu kama Mendy, wanachelsea hawatakiwi kuwa na wasiwasi wowote kuhusu ubora wa Lukaku, wategemee kuona ubora halisi wa Lukaku wa sasa mwenye uzoefu uliotukuka wa kufumania nyavu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NEWS:

Mtendaji mkuu wa AS ROMA Tiago Pinto atakuwepo London kwa masaa kadhaa yajayo, kwa ajili ya mazungumzo kuhusu Tammy Abraham. Chelsea FC wamekubaliana na AS ROMA dili la Tammy Abraham.

Pia kuna kipengere cha kumnunua tena "buy back clause " kwenye dili hilo. Ameongea na Jose Mourinho pamkja na AS Roma kuwa wanataka maamuzi wikiendi au wanweza kuangalia kwingineko.

Na kilichobaki kwa sasa ni Tammy Abraham kuridhia maslahi binafsi.

[David Ornstein - The Athletic].
 
NEWS:

Mtendaji mkuu wa AS ROMA Tiago Pinto atakuwepo London kwa masaa kadhaa yajayo, kwa ajili ya mazungumzo kuhusu Tammy Abraham. Chelsea FC wamekubaliana na AS ROMA dili la Tammy Abraham.

Pia kuna kipengere cha kumnunua tena "buy back clause " kwenye dili hilo. Ameongea na Jose Mourinho pamkja na AS Roma kuwa wanataka maamuzi wikiendi au wanweza kuangalia kwingineko.

Na kilichobaki kwa sasa ni Tammy Abraham kuridhia maslahi binafsi.

[David Ornstein - The Athletic].
Tatizo dogo bado anataka mshahara mkubwa
 
Mbona mapokezi na shamra shamra za Leo Messi kwenye jiji la Paris hazina mvuto mkubwa kama ule wa Cristiano Ronaldo kule kwenye jiji la Turin? Au kwa vile anasajiliwa bure au Brand ya Ronaldo ni hot cake zaidi ya brand ya Leo?
 
Chelsea predicted XI (3-4-2-1):

Werner ----------------- Havertz ------------------------ Ziyech

Chilwell--------------Kovacic -----------Kante-----------------James


Rudiger ------------------ Silva -----------------Azpilicueta

Mendy
 
Chelsea imeshiriki UEFA Supper Cup mara 4 na ilishindwa kubeba kandoo hako mara 3

1998: Real Madrid 0 Chelsea 1
2012: Chelsea 1 Atletico Madrid 4
2013: Bayern Munich 2 Chelsea 2 (Bayern won 5-4 on pens)
2019: Liverpool 2 Chelsea 2 (Liverpool won 5-4 on pens)
2021: Chelsea vs Villareal
 
Chelsea predicted XI (3-4-2-1):

Werner ----------------- Havertz ------------------------ Ziyech

Chilwell--------------Kovacic -----------Kante-----------------James


Rudiger ------------------ Silva -----------------Azpilicueta

Mendy
Hao chilwel, Silva n azpi nadhani wataanzia benchi ..maana wamechelewa kuanza mazoezi kwenye preseason tofauti na wengine ..so kutokana na fitness level Yao czan km wataanzishwa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cr7 ni mtu mwingine ww, tofauti na hilo psg ndani ya wiki moja tu watakuwa tayari wamepata hela ya mshahara wa Messi kwa miaka mitano na zaidi. Kutokana na mauzo ya jezi tu
Mbona mapokezi na shamra shamra za Leo Messi kwenye jiji la Paris hazina mvuto mkubwa kama ule wa Cristiano Ronaldo kule kwenye jiji la Turin? Au kwa vile anasajiliwa bure au Brand ya Ronaldo ni hot cake zaidi ya brand ya Leo?
 
Hao chilwel, Silva n azpi nadhani wataanzia benchi ..maana wamechelewa kuanza mazoezi kwenye preseason tofauti na wengine ..so kutokana na fitness level Yao czan km wataanzishwa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna uwezekano line up ikawa hivi

Werner ----------------- Havertz ------------------------ Ziyech

Chilwell--------------Kovacic -----------Kante-----------------Pulisic

Rudiger ------------------ Christensen-----------------James

Mendy
 
Dogo ana akili na ana jicho la kuona mbali

Mimi kama mratibu wa gunner kutokea afrika mashariki namkaribisha sana
Asernal ya kipindi Cha Wenger sio Sasa

Angewika kipindi Cha wenga coz yule mzee anajua kutumia vipaji vya wachezaji Bora angeenda roma
 
1628690684209.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom