Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbona manyumbu wamekaa kimya kuhusu harakati zetu za kumsajili Ex-player wao? Au wanasubiri kutucheka [emoji23]
Wao wanapata kipato kwa mkataba waliosaini na Inter ndio maana wamenyamaza. Dau kubwa inaonmgeza mgao kwao
 
Romelu Lukaku amefunga magoli mengi zaidi (47) na ametoa assists nyingi zaidi (13) kuliko mchezaji mwingine yeyote wa Chelsea FC tangu kuanza kwa msimu wa 2019/20.

Kwa misimu miwili akiwa Inter, amefunga magoli 20+ kwa misimu yote.

Nimeona mashabiki walio wengi wa Chelsea FC wo hawamtaki Romelu Lukaku licha ya kuwa na perfomance nzuri, sijui tatizo na sababu ya kumkataa ni nini na Club hakuondoka kwa mabaya au kisa ubonge wake jamani..

Wapo wanaosema huyu jamaa alifeli EPL sasa sijui alifeli kivipi. Alipokuwa Chelsea hakupewa nafasi ya kutosha kucheza, alicheza mechi kama kumi hivi, akatolewa kwa mkopo kwenda West Bromwich huko alikiwasha, alipiga goli 17 katika mechi 35 PL, akaenda Everton huko nako alikitikisa sana katika mechi 141 alipiga goli zaidi 68 PL, kuna msimu alikuwa akifukuzana na Kane kwenye kilele cha ufungaji bora , baada ya hapo Man U wakatoa £75M kumsaini Lukaku huko alicheza mechi kama 66 alipiga goli zaidi ya 47, na Lukaku ana conversation rate nzuri tu. Huko Belgium ndio top scorer wao kila siku anaweka..
 
Binafsi sitaki unafiki hapo baadaye, mm PAPAA GX nasema wazi kabisa LUKAKU hafai kuichezea Chelsea. LUKAKU ni takataka tu pale tunaenda kupigwa za uso mchana kweupeee kabisa.
 
MECHI YA LEO YA KIRAFIKI:

Chelsea 🆚 Tottenham

UWANJA:

Stamford Bridge

JIJI:

London

MUDA

Saa 19:45 usiku kwa muda wa United Kingdom sawa na saa 21:45 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki.
 
Mda utaongea, hata kw kai watu walianza kumdoubt mapema ila sasahiv wanaanza kumkubal, kuna msemo huwa unasema form is temporary but class is permanent

Lukaku ashaprove ni wc striker,
Lukaku huyu huyu au mwengine?
 
Katika no. 9 wa chini ya miaka 30 hawa ndio tano bora duniani kwa sasa, Lukaku yuko no. 4
  1. Harry Kane
  2. Erling Haaland
  3. Kylian Mbape
  4. Romelo Lukaku
  5. Andre Silva
Kwa striker wote bila kujali umri 10 bora hawa hapa, mwenye maneno na atapike hapa LUKAKU bado yuko kwenye 5 bora
  1. Robert Lewandowski
  2. Harry Kane
  3. Erling Haaland
  4. Kylian Mbape
  5. Romelo Lukaku
  6. Luis Suarez
  7. Cristiano Ronaldo
  8. Karim Benzema
  9. Ciro Immobile
  10. Andre Silva
 
Katika no. 9 wa chini ya miaka 30 hawa ndio tano bora duniani kwa sasa, Lukaku yuko no. 4
  1. Harry Kane
  2. Erling Haaland
  3. Kylian Mbape
  4. Romelo Lukaku
  5. Andre Silva
Kwa striker wote bila kujali umri 10 bora hawa hapa, mwenye maneno na atapike hapa LUKAKU bado yuko kwenye 5 bora
  1. Robert Lewandowski
  2. Harry Kane
  3. Erling Haaland
  4. Kylian Mbape
  5. Romelo Lukaku
  6. Luis Suarez
  7. Cristiano Ronaldo
  8. Karim Benzema
  9. Ciro Immobile
  10. Andre Silva
Kwa nini tusiweke hiyo 150£ kwa Haaland, miaka 28 na hilo touch ya km 1 tutapingwa regardless hizo statistics zake

Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Haaland inahitajika €200M

Haaland = €150M

Wakala & baba mzazi = 50M

Bodi hawako tayari kulipa 50M kwa wakala
Kwa prospect iliyo ndfani ya Haaland bado hiyo amount inalipa. Kumbuka tutakuwa naye kwa muda mrefu, takriban miaka 15 na ushee kama hata hama. Na hata akihama lazima pesa zetu zitarudi na faida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom