🔵Chelsea FC wanaandaa zabuni mpya kumsajili Romelu Lukaku takribani €120M/€130M baada ya dau la kwanza kupigwa chini na Inter. Pia wamemuoffa mkataba mrefu wenye thamani ya €12M kamili kwa msimu kama mshahara.
[Fabrizio Romano].
🔵Kuna uwezekano Lukaku akaondoka Inter kwenda Chelsea. Club imeyasema hayo ndani ya masaa kadhaa yaliyopita..
[Gazzetta Italy via SempreInter].
🔵Chelsea FC watafika makubaliano ya kiasi cha €130M pesa taslimu na Inter Milan kwa Romelu Lukaku, ni confirmed. Hakuna mchezaji atakaye jumuishwa kwenye dili hilo Lukaku ataingiza kiasi cha €15M kwa mwaka, confirmed.
[Alfredo Pedulla - Sportitalia].
🔵Romelu Lukaku sasa amefungua kutaka kuondoka Inter na kuhamia Chelsea FC.
Chelsea FC wameoffa €12M kwa msimu + bonuses. Lukaku ataingiza £196,000 kwa wiki na Chelsea FC wanaandaa offa ya £100M-£110M kwa Inter Milan. Itakuwa ni matakwa ya Lukaku ndicho kitaweka utofauti in negotiation. Kama Lukaku anaitaka Chelsea basi Inter hawatokuwa na uwezo wa kumbakisha clubuni hapo.
[Di Marzio - Sky Italia].
🔵Chelsea wapo karibu sana kumsaini Romelu Lukaku.
[Angelo Mangiante - Sky Italia].