Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa jinsi tunavyopeleka mipira mbele, aje tu hata Lukaku, inatosha
 
Mm narudia tena, usajili wa LUKAKU ni wa kipumbavu sana. Huyo jamaa bora abaki huko huko, yaani ni mara mia Lewandowski kuliko Lukaku.

Nasema tena kwa mfumo wa TT huyo jamaa atapotea sana mpaka mtabaki mnamshangaa, kwa mfumo wa TT Halaand ndio chaguo sahihi. Ata kama BVB wanataka million 300 tuwape tu, Halaand bado ni mdogo tutakaa nae kwenye klabu zaidi ya miaka kumi.

Mara ya kwanza nasikia tumeamia kwa Lukaku baada ya kumkosa Halaand niliumia sana, mpira ni kipaji sio majina makubwa. Aisee bora tungemsajili Ivan Toney aje kusaidiana na Broja.
 
Kante OUT Bakayoko in
Tumefungwa goli
Tatizo la Pre-season makocha hawaangalii matokeo wanaangalia jinsi mchezaji anavyocheza kwa hiyo matakataka yote lazima yajaribiwe
 
Mm narudia tena, usajili wa LUKAKU ni wa kipumbavu sana. Huyo jamaa bora abaki huko huko, yaani ni mara mia Lewandowski kuliko Lukaku.

Nasema tena kwa mfumo wa TT huyo jamaa atapotea sana mpaka mtabaki mnamshangaa, kwa mfumo wa TT Halaand ndio chaguo sahihi. Ata kama BVB wanataka million 300 tuwape tu, Halaand bado ni mdogo tutakaa nae kwenye klabu zaidi ya miaka kumi.

Mara ya kwanza nasikia tumeamia kwa Lukaku baada ya kumkosa Halaand niliumia sana, mpira ni kipaji sio majina makubwa. Aisee bora tungemsajili Ivan Toney aje kusaidiana na Broja.
Kuwapata hao unaowataka sasa ndio kazi
Bayern wamegoma, Spurs wamegoam, BVB wamegoma
 
Chelsea uwanja wenu huwa hauvutii kabisa kuangalia match, yaani hata london colney inawazidi, ndio maana vichezaji vyenu vinapost sana picha vikiwa Emirates ushuani.
 
Huyu huyu , leo hii ukitaja namba 9 bora kwa sasa lukaku utamuhesab katika top 5

Tuombe uzima tu ndio jmbo la muhimu tushuhudie
Baada ya nusu msimu mutamkataa wenyewe.
Kile ni kiroba cha kilo mia, hakina issue.
Usidanganyike na pale alipo (inta Milan).
 
Mm narudia tena, usajili wa LUKAKU ni wa kipumbavu sana. Huyo jamaa bora abaki huko huko, yaani ni mara mia Lewandowski kuliko Lukaku.

Nasema tena kwa mfumo wa TT huyo jamaa atapotea sana mpaka mtabaki mnamshangaa, kwa mfumo wa TT Halaand ndio chaguo sahihi. Ata kama BVB wanataka million 300 tuwape tu, Halaand bado ni mdogo tutakaa nae kwenye klabu zaidi ya miaka kumi.

Mara ya kwanza nasikia tumeamia kwa Lukaku baada ya kumkosa Halaand niliumia sana, mpira ni kipaji sio majina makubwa. Aisee bora tungemsajili Ivan Toney aje kusaidiana na Broja.
Fan wa pili Chelsea Mwenye akili timamu humu jf ukiachana na Myahudi Jr II

Waliobaki wote upepo
Sasa unamchugua lukaku ili ugundue nini??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Baada ya nusu msimu mutamkataa wenyewe.
Kile ni kiroba cha kilo mia, hakina issue.
Usidanganyike na pale alipo (inta Milan).
Mkuu chukueni tu zigo lile
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Matakataka yaliyoingia kipindi cha pili yameshindwa kuzuia kufungwa kabisa au kuongeza goli
  1. Ampadu
  2. Bakayoko
  3. Tino
  4. Zapacosta
  5. Kenedy
  6. Tammy
 
Bakayoko hafai kuwa mchezaj wa chelsea hata kwenye pre season

Marina auze hii hat kwa 10M kutegemea 25M kwa hii takataka ni kama tunaendelea kufurahia kuwa nalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom