Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huwezi kumuingiza moja kwa moja Broja kwenye first XI. Harvey's bado ana potential kubwa pale mbele. Uwepo wa Werner pale mbele ana usumbufu mwingi ambao ni hatari kwa timu pinzani, broja akitokea Sub ili APATE uzoefu
TT alivyo, huyo hatakawia kuwa kwenye first XI labda angekuwa Sari
 
Huwezi kumuingiza moja kwa moja Broja kwenye first XI. Harvey's bado ana potential kubwa pale mbele. Uwepo wa Werner pale mbele ana usumbufu mwingi ambao ni hatari kwa timu pinzani, broja akitokea Sub ili APATE uzoefu
Halafu kumbuka hizo formation nilizochokozea mada ni za strikers wawili na hao uliowataja hawawezi kucheza kama natural striker kama huyo Broja na Haaland
 
Ziyech Feeling Sharp

‘I’m feeling great, sharp’ – Chelsea’s Ziyech ready for Premier League after Bournemouth win

 
HAPPY BIRTHDAY PEDRO:

Tarehe kama ya leo 1987, alizaliwa aliyekuwa mchezaji wa Chelsea FC Pedro Rodriguez.🎂

Pedro akiwa Chelsea FC;

🏟Michezo 204.
⚽️Magoli 43.
🅰️Assists 28.
🏆Premier League.
🏆FA Cup.
🏆UEFA Europa League..

A brilliant player to watch on the pitch, Age with grace Pedro have a great day..
Pedro alikuwa ananifurahisha kitu kimoja na nmeona akifanya kwenye mechi kadhaa, akinyang'anywa mpira bc lazima amkimbize huyo mpinzani na atamchezea rafu na atapewa kadi ya njano
 
Halafu kumbuka hizo formation nilizochokozea mada ni za strikers wawili na hao uliowataja hawawezi kucheza kama natural striker kama huyo Broja na Haaland
Hii issue ya Halaand naona itakuwa mtihani kidogo. Labda tukomae na Broja na Harverts kama false nine huku akisaidiana na Werner na Ziyech nyuma yake..mim naona tuongeze zaidi mabeki maana Azp na Silva ni mafaza hivyo management ifanye namna ya kuwa back up kwenye huu muda wa usajili uliobaki.
 
Hii issue ya Halaand naona itakuwa mtihani kidogo. Labda tukomae na Broja na Harverts kama false nine huku akisaidiana na Werner na Ziyech nyuma yake..mim naona tuongeze zaidi mabeki maana Azp na Silva ni mafaza hivyo management ifanye namna ya kuwa back up kwenye huu muda wa usajili uliobaki.
Dili la kounde lipo hatua za mwsho

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
OFFICIAL CHELSEA AWAY KIT RELEASED;

Rasmi Chelsea FC itavaa jezi rangi ya njano mechi za ugenini kwa msimu wa 2021/2022
💛💛💛
 
Tofauti ya Mount na wachezaji wa kiingereza ndo hii, pamoja na kubeba ubingwa wa ulaya akiwa na umri mdogo bado anaonekana mwenye njaa

Mwaka 2018 baada ya Dele Alli kutinga fainali ya UEFA na kutajwa kwenye kikosi bora cha ulaya cha mwaka huo alijisahau na kujiona amefika, mwisho aliishia kuponda raha kwenye fukwe za bahari na mwisho aliongezeka uzito, baadae alileta dharau mbele ya kocha Jose Mourinho mwisho aliozea benchi pale Spurs, now yuko wapi?

Wachezaji wengi wa kiingereza wana tabia za kujisahau hasa baada ya kufanikiwa kidogo, huanza vizuri mwisho huishia kusikojulikana.
 
TUJIKUMBUSHE HILI:
Fainali ya Club World Cup mwaka 2012 Chelsea walipoteza kwa bao moja dhidi ya Corinthian ya Brazil huku mkabia macho Gary Cahil akipewa kadi nyekundu pamoja na refarii kutokuwa fair kwa kumnyima bao la wazi Fernando Torres kwenye dakika za lala salama.

ilikuwa ni moja ya aibu kubwa kwa kocha Rafa Benitez pamoja na klabu kutokea bara la ulaya kupoteza kombe la CWC kwa klabu kutokea America kusini.

Mwaka huu Chelsea wanarejea tena kwenye ligi ya CWC baada ya kuwa mabingwa wa ulaya, ni jukumu la Thomas Tuchel kuhakikisha anacheza karata zake vema na kuifuta ile aibu ya mwaka 2012 na kuhakikisha analileta darajani kwa mara ya kwanza hili kombe zuri lililosheheni dhahabu mithili ya mgodi wa Buzwagi.
 
Away kit ya chelsea.

Naona tumeamua kuiga jezi ya Dortimund ili kumvuta Halaand kiulaini.
20210729_164113.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom