Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Asenane wameisha kubaliana na Miguu mirefu aka milunda aka kubwa jinga aka Abraham. Bado kwa Chelsea, Chelsea wanataka paundi 45 milioni
Arsenal wamekubali terms
Arsenal wamekubali terms
Aisee kwahy tusubiri kdg eee
21:45Hiv game yetu ya leo ya pre-season na Bournemouth ni saa ngapi? Tuambieni mnaojua
Asante mkuu. vip itaoneshwa live?21:45
Itaoneshwa kwenye appAsante mkuu. vip itaoneshwa live?
Dstv chanel gani?21:45
App ya chelsea itakuwa liveAsante mkuu. vip itaoneshwa live?
Dstv sidhan,Dstv chanel gani?
3-4-3 ndio mfumo bora utakao endelea kutupa mafanikio, kulingana na aina ya wachezaji tulionao kwa sasa.
TT asibadili mfumo bali aboreshe mbinu za uchezaji kule mbele mabao yapatikane kwa wingi.
Tutegemee kuona mfumo mwingine ukiwa unatumika3-4-3 ndio mfumo bora utakao endelea kutupa mafanikio, kulingana na aina ya wachezaji tulionao kwa sasa.
TT asibadili mfumo bali aboreshe mbinu za uchezaji kule mbele mabao yapatikane kwa wingi.
Nimeipenda hiii....
Kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone kuhusu Chelsea ya Thomas Tuchel; "Tulielewa ubora wao kwenye kucheza na nafasi. Mara zote wanakuwepo watu kwenye nafasi zao." "Nililipenda sana hilo na timu inayoweza kufanya mambo mengi. Walilionyesha hilo kwenye mchezo dhidi ya Man city. Waliwafunga Real Madrid kama walivyotufunga sisi. Tuchel amefanya kazi kubwa sana." "Tuchel ni kocha anayezuia au kushambulia? Ni timu inayozuia vizuri na inakupa presha kubwa kwenye kushambulia. Tulifikiri kwamba ni timu ya kawaida ambayo tumeshaiona hapo kabla." "Lakini walikuwa bora sana. Mechi ya marudiano walikuwa na kasi ya tofauti kabisa, walikuwa wanakufanya utengeneze nafasi. Jambo hilo tulilipenda sana." Unapigwa, unafundishwa na soka.....kuna watu wanaweza kusahau kwamba Suarez na ubora wake wote hakupiga shuti lolote#d1905_updates


afundishwa adabu kabisa na soka pia 
We fala ushaenda kwa wahaya leoHii timu ya kifala sana ..
