Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unamtaka halaand halafu unamtoa Werner huu ni uharibifu wa kufikiri. Werner ni threat kwa timu zingine. Ana speed, ana toa assist hafungi ila ni balaa ..uza Abraham na mazaga mengine leta huyo halaand mpira uwe hivi ..
Werner Halaand Harvert

#CFC
 
Kuwa mpole
MANCHESTER CITY EPL 2018/19

1. Sergio Agüero - 21 goals
2. Raheem Sterling - 17 goals
3. Leroy Sané - 10 goals
4. Gabriel Jesus - 7 goals
5. Riyad Mahrez - 7 goals
6. Bernardo Silva - 7 goals
7. Ilkay Gündogan - 6 goals
8. David Silva - 6 goals

LIVERPOOL FC EPL 2019/20

1. Mohamed Salah - 22 goals
2. Sadio Mané - 11 goals
3. Roberto Firmino - 9 goals
4. Diogo Jota - 9 goals

MANCHESTER CITY EPL 2020/21

1. Ilkay Gündogan - 13 goals
2. Raheem Sterling - 10 goals
3. Gabriel Jesus - 9 goals
4. Phil Foden - 9 goals
5. Riyad Mahrez - 9 goals
6. Ferran Torres - 7 goals
7. Kevin De Bruyne - 6 goals
8. Sergio Agüero - 4 goals

------------------------------------------------------------------

CHELSEA FC EPL 2020/21

1. Tammy Abraham - 6 goals
2. Mason Mount - 6 goals
3. Timo Werner - 6 goals
4. Kai Havertz - 4 goals
5. Christian Pulisic - 4 goals
6. Callum Hudson-Odoi - 2 goals
7. Hakim Ziyech - 2goals

Safu yetu ya ushambuliaji ni kituko, haina uwezo wa kufunga magoli mengi kubeba EPL.

Kama kweli tunataka kubeba EPL tunahitaji kusajili wachezaji wapya Winga ya kushoto, Kulia, kiungo mshambuliaji na mshambuliaji wa kati

Haaland akitua sioni ni namna gani tutabeba EPL kama mawinga wetu + viungo washambuliaji hawana uwezo wa kufunga magoli 10.
 
MANCHESTER CITY EPL 2018/19

1. Sergio Agüero - 21 goals
2. Raheem Sterling - 17 goals
3. Leroy Sané - 10 goals
4. Gabriel Jesus - 7 goals
5. Riyad Mahrez - 7 goals
6. Bernardo Silva - 7 goals
7. Ilkay Gündogan - 6 goals
8. David Silva - 6 goals

LIVERPOOL FC EPL 2019/20

1. Mohamed Salah - 22 goals
2. Sadio Mané - 11 goals
3. Roberto Firmino - 9 goals
4. Diogo Jota - 9 goals

MANCHESTER CITY EPL 2020/21

1. Ilkay Gündogan - 13 goals
2. Raheem Sterling - 10 goals
3. Gabriel Jesus - 9 goals
4. Phil Foden - 9 goals
5. Riyad Mahrez - 9 goals
6. Ferran Torres - 7 goals
7. Kevin De Bruyne - 6 goals
8. Sergio Agüero - 4 goals

------------------------------------------------------------------

CHELSEA FC EPL 2020/21

1. Tammy Abraham - 6 goals
2. Mason Mount - 6 goals
3. Timo Werner - 6 goals
4. Kai Havertz - 4 goals
5. Christian Pulisic - 4 goals
6. Callum Hudson-Odoi - 2 goals
7. Hakim Ziyech - 2goals

Safu yetu ya ushambuliaji ni kituko, haina uwezo wa kufunga magoli mengi kubeba EPL.

Kama kweli tunataka kubeba EPL tunahitaji kusajili wachezaji wapya Winga ya kushoto, Kulia, kiungo mshambuliaji na mshambuliaji wa kati

Haaland akitua sioni ni namna gani tutabeba EPL kama mawinga wetu + viungo washambuliaji hawana uwezo wa kufunga magoli 10.
Upo sahihi mkuu.

Kwanza tumpate haaland mengine tutajua mbele ya safari.
Hizo winger ndizo zimechukua UCL. Zikiungana na Haaland hata EPL inawezekana.

Haaland Kwanza .
 
MANCHESTER CITY EPL 2018/19

1. Sergio Agüero - 21 goals
2. Raheem Sterling - 17 goals
3. Leroy Sané - 10 goals
4. Gabriel Jesus - 7 goals
5. Riyad Mahrez - 7 goals
6. Bernardo Silva - 7 goals
7. Ilkay Gündogan - 6 goals
8. David Silva - 6 goals

LIVERPOOL FC EPL 2019/20

1. Mohamed Salah - 22 goals
2. Sadio Mané - 11 goals
3. Roberto Firmino - 9 goals
4. Diogo Jota - 9 goals

MANCHESTER CITY EPL 2020/21

1. Ilkay Gündogan - 13 goals
2. Raheem Sterling - 10 goals
3. Gabriel Jesus - 9 goals
4. Phil Foden - 9 goals
5. Riyad Mahrez - 9 goals
6. Ferran Torres - 7 goals
7. Kevin De Bruyne - 6 goals
8. Sergio Agüero - 4 goals

------------------------------------------------------------------

CHELSEA FC EPL 2020/21

1. Tammy Abraham - 6 goals
2. Mason Mount - 6 goals
3. Timo Werner - 6 goals
4. Kai Havertz - 4 goals
5. Christian Pulisic - 4 goals
6. Callum Hudson-Odoi - 2 goals
7. Hakim Ziyech - 2goals

Safu yetu ya ushambuliaji ni kituko, haina uwezo wa kufunga magoli mengi kubeba EPL.

Kama kweli tunataka kubeba EPL tunahitaji kusajili wachezaji wapya Winga ya kushoto, Kulia, kiungo mshambuliaji na mshambuliaji wa kati

Haaland akitua sioni ni namna gani tutabeba EPL kama mawinga wetu + viungo washambuliaji hawana uwezo wa kufunga magoli 10.
Mkuu kama ungekuwa katika bodi ya usajili ya Chelsea kila msimu ungekuwa unademand wachezaji wapya tena nafasi hizohizo....aisee kuwa mpole chief sahv tuangalie priority za kocha anazohitaji kila siku kufumuafumua kikosi si tutakuwa tunasogea hatua 20 mbele tunarudi nyuma hatua 30 ...si bure unapoelekea utamtaka mpk fabregas .....

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Breaking News: Arsenal offered Willian + £10M for Halaand…as per my sources Dortmund is looking interested as of now..😁
 
MANCHESTER CITY EPL 2018/19

1. Sergio Agüero - 21 goals
2. Raheem Sterling - 17 goals
3. Leroy Sané - 10 goals
4. Gabriel Jesus - 7 goals
5. Riyad Mahrez - 7 goals
6. Bernardo Silva - 7 goals
7. Ilkay Gündogan - 6 goals
8. David Silva - 6 goals

LIVERPOOL FC EPL 2019/20

1. Mohamed Salah - 22 goals
2. Sadio Mané - 11 goals
3. Roberto Firmino - 9 goals
4. Diogo Jota - 9 goals

MANCHESTER CITY EPL 2020/21

1. Ilkay Gündogan - 13 goals
2. Raheem Sterling - 10 goals
3. Gabriel Jesus - 9 goals
4. Phil Foden - 9 goals
5. Riyad Mahrez - 9 goals
6. Ferran Torres - 7 goals
7. Kevin De Bruyne - 6 goals
8. Sergio Agüero - 4 goals

------------------------------------------------------------------

CHELSEA FC EPL 2020/21

1. Tammy Abraham - 6 goals
2. Mason Mount - 6 goals
3. Timo Werner - 6 goals
4. Kai Havertz - 4 goals
5. Christian Pulisic - 4 goals
6. Callum Hudson-Odoi - 2 goals
7. Hakim Ziyech - 2goals

Safu yetu ya ushambuliaji ni kituko, haina uwezo wa kufunga magoli mengi kubeba EPL.

Kama kweli tunataka kubeba EPL tunahitaji kusajili wachezaji wapya Winga ya kushoto, Kulia, kiungo mshambuliaji na mshambuliaji wa kati

Haaland akitua sioni ni namna gani tutabeba EPL kama mawinga wetu + viungo washambuliaji hawana uwezo wa kufunga magoli 10.
Tempo na patern ya uchezaji huwa inabadiliaka kulingana na Chemistry ya timu. TT akizoeana na wachezaji, akaja Haaland ambaye atawakeep busy mabeki, hao wanaoteseka kufunga utaona milango itawafungukia kufunga kirahisi. Na pia morale na rythmn ya kushambulia itabadilika sana. Sina shaka kwenye hilo
 
Hazard arudi darajani, kwa maana Pulisic anadema dema tuu, wastage of time
View attachment 1864909
Muache apumzike ale pension pale Real Madrid. Ametusaidia sana. Na ametufanyia mengi mazuri. Nampenda sana lakini kwasasa wacha tubaki na Pulisic. Natamani this time Hazard ashinde UEFA champion league lakini nikimkumbuka courtois nasema bara wasishinde tu. Sijajua kwann Courtois amenitoka ivi aisee
 
Hii timi mbon imekaa kifalafalaa ..

Yaani utafikili hayajachukua uefa ,yaani imekaa kipimbipimbii daaaaaa
Unaumia unapokumbuka walivyokusukumizia tatu matata. Huna hamu nao tena. Sasa ivi ni wivu wa mimba ya miezi miwili inakusumbua eee
 
Hazard akirudi darajani ni the worst wastage of time and money - Abaki huko huko ale pension yake
  1. Hazard wa sasa na yule wetu ni vitu viwili tofauti
  2. Hazard hyu wa leo ni mtu wa mapochopocho
  3. Hazard wa leo ni mvivu na hajitumi
  4. Hazard wa leo karizika mno
  5. Hazard wa leo kazeeka
  6. Astaafie huko huko kwenye ndoto zake
  7. Bora Pulisic anakuwa, kumbuka ana miaka 22 tu
Tuna options nyingi sana
Yuko Pulisic na Werner, bado umri mdogo
Tunaweza kwenda sokoni kwa akina Chiesa
Tunae Havertz just 22
Tunae Mason Mount 22 tu kijana mchapa kazi hata Hazard kwenye huo umri hajamfikia Mount hata kidogo
Kwa nini tuanze kumfikiria mtu anayekula pensio kule Real Madrid?
Naunga mkono hoja. Tutamkumbuka kwa mema aliyotufanyia kama Didier Drogba. They are our legends ever
 
Unamtaka halaand halafu unamtoa Werner huu ni uharibifu wa kufikiri. Werner ni threat kwa timu zingine. Ana speed, ana toa assist hafungi ila ni balaa ..uza Abraham na mazaga mengine leta huyo halaand mpira uwe hivi ..
Werner Halaand Harvert

#CFC
Hii kombination nimekaa chini hapa nalia na karanga na Pepsi bigi.
 
Jamani, vyanzo vyangu vya ndani ya Chelsea vinaniambia lengo ni kumleta Haaland darajani. Marina halali usingizi. Kwa sababu ya unyeti wa huu usajili Chelsea wanafanya mambo chini kwa chini ili wanafiki wasije wakaharibu deal
Na pia kwa sababu hakuna timu yenye jeuri ya kuweka dau kubwa na kwa sababu pia BVB ni lazima wafanye biashara ya Haaland msimu huu, wanategeana huku BVB waksiema hauzwi mtu hapa nao The Blues wakikaa kimya huku wakipima maji kwa kupeleka bid zisizo rasmi pembeni kwa pembeni.

Bidi ya mwisho iliyopelekwa kupima maji ni ya paundi mil 130 wakikataa Chelsea watarudi na addons zenye kufika paundi mil 20
Na mojawapo ya hizo addons ni

  1. Paundi Mil 5 Chelsea wakishin da EPL
  2. Paundi Mil 5 Chelsea wakishinda UCL
1627219411141.png
 
Hii taarifa imefufua matumaini mapya ya kumsajiri haaland unaambiwa BVB wapo mbioni kumsajiri mshambuliaji wa PSV hii inatoa mwanga kwamba jamaa wanajipanga kuziba pengo la haaland
Screenshot_20210725-152324_Twitter.jpg
 
Hii taarifa imefufua matumaini mapya ya kumsajiri haaland unaambiwa BVB wapo mbioni kumsajiri mshambuliaji wa PSV hii inatoa mwanga kwamba jamaa wanajipanga kuziba pengo la haaland View attachment 1867775
Huu usajili wa Malen ukishakamilika, Haaland anatua darajani. BVB wanasogeza muda na kujifanya hawamuuzi Haland ili PSV wasije kudai dau kubwa kwa Malen kwa sababu ya mauzo makubwa ya Haaland. Tuombe Mungu hiyo paper work ikamilike haraka ndani ya muda
 
Hii taarifa imefufua matumaini mapya ya kumsajiri haaland unaambiwa BVB wapo mbioni kumsajiri mshambuliaji wa PSV hii inatoa mwanga kwamba jamaa wanajipanga kuziba pengo la haaland View attachment 1867775
Kule Dormund nasikia dau la paundi mil 130 limewaweka majaribuni na hizo mbio za kumnunua Malen ni katika hatua za mwanzo za kukubali hilo dili la kumuuzia Haaland Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom