Italy itabidi wamtumpe nje Jorginho sio kesho?
Timu zote zenye wachezaji wa Chelsea zaidi ya watatu Euro zimetolewa..hadi England inawaweka wote Bench.![]()
Sio tu Jana tangu mechi ya kwanza binafsi huyu ndio mchezaji wa Chelsea aliyeperform juu zaidi.Dah Joginho jana amecheza kiwango cha world class player. Bonge la mchezaji.
Style ya uchezaji wa Itally unamfit sana, short passes za haraka haraka. Sari's BallDah Joginho jana amecheza kiwango cha world class player. Bonge la mchezaji.
Kimmich bonge la mtu aseehTumchukue Joshua Kimmich = 10 Rice
Aisee Mechi za Italy za mwanzo sikuziangalia mkuu
Alipiga mwingi Sana na sio alikuwa anafanya kazi chafu aliifanya ITALY kuwa hatari inapofanya attack mbele maana alikuwa anapiga forward pass nyingi na nyingi zilikuwa accurateAisee Mechi za Italy za mwanzo sikuziangalia mkuu
Si wamesema hawamuuziHivi Chelsea inao wachezaji wazuri sana kiasi cha kumuachia mchezaji mzuri kama Hakim Ziyech.
Siamini hilo
Bora hao achana na waingerezaTT anamuona Reece James kama CB zaidi ya RB, kwa hiyo RB mwingine anatafutwa baada ya Chelsea kumkosa Hakimi sasa wanamtaka Marquinhos wa PSG na kiungo wa Atletico Madrid: Saul Niguez
