Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,924
- 122,192
Ile season ya 2009 turudishiwe ushindi wetuIla kwenye kombe hili hakuna sehemu tulipita na goal la away. Msimu huu.
Ile season ya 2009 turudishiwe ushindi wetuIla kwenye kombe hili hakuna sehemu tulipita na goal la away. Msimu huu.
Mkuu Kwan husikii habari za achraf hakimi, halaand, ....hizo za city si tetesi Tu kama hizo sasa ukimya upi huo unaousemeaCity wanamtaka Kane na Grealish, sisi tupo kimya tu.
Inaniuma sana hiyo match Barca walipata bahati sanaIle season ya 2009 turudishiwe ushindi wetu
Hamna hela nyie kenge ya kusajili ....
Timu ya wahuni tuu
Deal la Hakimi lishakufa, Fabrizio anasema inter n psg wameshafikia makubaliano na mda sio mrefu hakim atathibitishwa kama mchezaj wa psgMarina kwa nini usiweke nguvu sehemu moja, to Euro mil 150 mlete halaand hapa darajani, Achana na Hakimi achana na biashara zingine
Usajili wa Striker unatosha kabisa
Kama Chelsea hawatatoa hiyo hela basi msimu ujao hatukuwa na chetu£154.2M kwa Haaland? Sidhani kama tutatoa hiyo pesa. Ni rahisi kumsajili Lukaku kuliko Haaland.
Kuna habari za joules kounde Yule wa Sevilla anahitajika na chelseaAZIPUCUETA & SILVA hawa jamaa umri wao umekwenda, dirisha hili wasajiliwe mbadala wao. Tusisubirie wakate ringi kabisa.
Kama tunataka ubingwa wa epl hatuchukui kwa hicho kikosi labda tu Kama tunataka big 4Werner yupo, msimu ujao anaweza akawasha ule moto wake wa bundasliga.
King Kai Harvetz yupo our secret Nuclear weapon
Giroud, Abraham wapo.
Tunaweza toa hiyo ofa kwa Dortmund halafu Haaland mwenyewe akakataa kujiunga the blues tutafanyaje?
Lukaku amesema bado yupo yupo Inter
Lewandoski kumchomoa Buyern ni ndoto ya mazombi
Harry kane hataki kuisikia BLUES.
Tujiandae kisaikolojia kuendelea na hawa hawa mastriker wetu (Werner, Giroud & Abraham) msimu ujao.
Epl ina mechi 38 hiyo Uefa ina mechi ngapi?Lakini UEFA tumechukua na wachezaji waliopo na pengine tungechukua EPL kama TT angeanza kufundisha timu mwanzo wa msimu. Lampard alidrop points kizembe
Haaland ameonyesha kwua yuko tayari kusajiliwa na ChelseaWerner yupo, msimu ujao anaweza akawasha ule moto wake wa bundasliga.
King Kai Harvetz yupo our secret Nuclear weapon
Giroud, Abraham wapo.
Tunaweza toa hiyo ofa kwa Dortmund halafu Haaland mwenyewe akakataa kujiunga the blues tutafanyaje?
Lukaku amesema bado yupo yupo Inter
Lewandoski kumchomoa Buyern ni ndoto ya mazombi
Harry kane hataki kuisikia BLUES.
Tujiandae kisaikolojia kuendelea na hawa hawa mastriker wetu (Werner, Giroud & Abraham) msimu ujao.
Tusijitoe ufahamu, mtumbukizaji wa magoli au mchana neti mzuri na wa uhakika anatakiwa darajani. Hata Aston Villa walioshika nafasi ya 11 walitusidi kule mbeleKama tunataka ubingwa wa epl hatuchukui kwa hicho kikosi labda tu Kama tunataka big 4
Yaani azpi fasta kawa babu miaka 31 anaonekana babu .AZIPUCUETA & SILVA hawa jamaa umri wao umekwenda, dirisha hili wasajiliwe mbadala wao. Tusisubirie wakate ringi kabisa.
Kwa iyo mnataka kusemajeKuna highlights za magoli ya Belgium naangalia hapa, Lukaku linafunga sio mchezo.
Huyo anafaa kwa timu zisizo na pressure kubwa sio Chelsea na hizo control zake za km 1Kuna highlights za magoli ya Belgium naangalia hapa, Lukaku linafunga sio mchezo.