Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
kimewauma eeh?? eti childish argument i only said the truth...glazers walikuwepo wakati wa treble 1999?, sisi tumeanzia mbali....wakati ule club inajiendesha yenyewe hakuna oil money billionaires kama sheikh mansour au abromavich
Kwa hiyo unaona 1999 mbali sana sio?! Bora umekubali umejiunga baada ya treble, that means a GLORY HUNTER....soon you'll shift to Etihad, you shameless loon.
Nimeingia Stamford Brigde nikiwa chini ya miaka 10 kwa mara ya kwanza, sasa niko kwenye 30s. I know what it takes to be in the second division. I hate anything in red, except my own blood....never supported any team in red color....BLUE for life.
KTBFFH