Giro
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 359
- 24
Hakika kwa Eden Hazard, Chelsea imelamba dume...jamaa ni mkali sana..na hapo lazima Torres afunge sana magoli....
Huyo bwana mdogo sijui kwanini Man U tulimwachia aende darajani..aarrrgghhh.
£32million price tag sio sindimba.Na kapu lenu lilivyokuwa na matobo,haliwezi kubeba vitu vizito kama hivyo bro litachanika.