Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
hahahhaa reading wamekula pilipili lazima mtu afe leo
Wenyewe wapo humu??? Koz huwa hawakaagi kwao hapa... wao ni thread za wenzao tuu....Naona Reading anatunisha msuli hapa...
Nimewauliza hapo juu mpoo? Naona kimya wapo kwenye thread ya arsenal kule wanatia majungu huku wanajua kimeshanukaa
Hazard apewe award ya ku dive na kuishindia Chelsea penalty! ... Walitucheka man utd leo naona kama zamu yao
Walitusema sana leo naona torez anaruka ruka ila ngoja tuone dakika 90?
Napita tu
haya ni half timeone kuwa second time jamaa watarudi ni aibu kuwa .. Bosi yupo halafu wanadhalilishwa kiasi hiki
Unaenda wapi? Kaa hapa uone vijana wanavyodhalilishwa kwao
Leo chelse wanalala!! Wap Peasant??
Hahahahahahahahhahahhhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyu kipa wa reading FAMBA saaana.....
Duh! Huyu kipa anashindwaje kudaka mpira kama huo??
Breath!!
Magoli mpaka ya Offside!! Dah!
reading warudi tu walikotoka ! walikuwa washakamata masaburi ya chelsea .. wakapaki bus na kufanya sub ya kijinga! ... natamani sana man u vs chelsea tuwashikishe adabu hawa!
Hahahahhahahhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Last edited by a moderator: