Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mara ya mwisho Arsenal kupata ushindi darajani ni msimu wa 11/12 na huo ndio msimu chelsea alichukua FA na UCL.
 
Kufungwa na Arsenal inabidi iwe wake up call.

Atalanta wakati wanapiga watu tano na saba walikua wanatumia formation ya mabeki 3 na Arsenal ilianza na formation hii chini ya Arteta ikaanza vizuri sana.

Kisha mechi zikaanza kupotezwa, str8 up tukajua timu inahitaji kuchange formation. At the same time Atalanta akaanza kufa na kupona.

Tuchel knows kwamba hii formation itafika sehemu itagive in as ni formation ya tournaments kuliko season long campaign, so kuna siku akajaribu 4 2 3 1 dhidi ya underdog fulani hivi, mlisuluhu ile game. Kuanzia pale akaresort na mabeki 3. Westbromwich wakamuexpose, Arsenal imemuexpose.

Tukutane msimu ujao. Nilimuambia shabiki wenu mmoja 'London laughingstock. Sooner'

Narudia na kwako wewe

London laughingstock. Sooner.
Naomba utukumbushe hiyo game ambayo tuchel alitumia 4231 ilikuwa dhidi ya tim ipi
 
42774277

3 5 2 ni nzuri kwa tournaments za muda mdogo.

Kwa kampeni ndefu zinazokuhitaji uwe sehemu nyingi siyo formation reliable.

Tuchel alijaribu formation nyingine akanotice haiwezi, so next season atahama formation

Kwahiyo next season asipohama formation hii screenshot yako itabidi iwe extended coz loss zitakua ndefu pia.

Vitu vyepesi unashindwa kuvielewa.

Conte aliitumia msim mzima hiyo Formation na bado akachukua ubingwa

Shida bwana Castr unamlinganisha tuchel na Arteta, kwa kuwa unahisi arteta alishindwa ndio unahisi na tuchel atashindwa,

Arteta bado sana katika ukocha, kumlinganisha tuchel na arteta ni dharau hizo

Unahisi kwa kuwa arteta ameshindwa msim unahis hadi tuchel na yeye atashindwa msim ujao, hayo ni makosa, unaishi kwa kukariri

Kocha huwa anahukumiwa kwa matokeo ya wakati huo na siyawakat ujao ambao hatujui kama tutakuwepo au ataperform vipi
Wakat wa december liver alikuwa anaongoza ligi na city alikuwa wa 8 kama sijakosea ila yaliyotokea baada ya hapo unayafaham,

Kuhisi msim ujao tuchel ataperform vibaya wakat hata msim wenyewe haujaanza na hujui plan yake ya msim ujao ikoje, tuwe na akiba ya maneno
 
Wakuu si tulikubaliana hakuna anayeweza ku UNLOCK defence ya Chelsea
Au neno "UNLOCK" limepoteza maana.
Mkuu Pain killer, njoo uone

😂😂😂😂😂
 
Conte aliitumia msim mzima hiyo Formation na bado akachukua ubingwa

Shida bwana Castr unamlinganisha tuchel na Arteta, kwa kuwa unahisi arteta alishindwa ndio unahisi na tuchel atashindwa,

Arteta bado sana katika ukocha, kumlinganisha tuchel na arteta ni dharau hizo

Unahisi kwa kuwa arteta ameshindwa msim unahis hadi tuchel na yeye atashindwa msim ujao, hayo ni makosa, unaishi kwa kukariri

Kocha huwa anahukumiwa kwa matokeo ya wakati huo na siyawakat ujao ambao hatujui kama tutakuwepo au ataperform vipi
Wakat wa december liver alikuwa anaongoza ligi na city alikuwa wa 8 kama sijakosea ila yaliyotokea baada ya hapo unayafaham,

Kuhisi msim ujao tuchel ataperform vibaya wakat hata msim wenyewe haujaanza na hujui plan yake ya msim ujao ikoje, tuwe na akiba ya maneno
Siwezi mlinganisha na Arteta.

Tuchel kafundisha timu ambazo ligi hizo zenyewe ni zenyewe na after some time akaunderperform.

Swala la inter nimelijibu next comment. Kuna mwenzako aliraise same concern.

Kuhusu kuweka akiba ya maneno hata wanaodai timu yao itaogopeka inabidi wawe nayo. Nimeiona ligi ya Ujerumani, Ufaransa na Uingereza na kama waweza screenshot hii comment ili tuje kukumbushana baadaye fanya hivyo.

Ila msimu ujao unaanza na disappointments zitakuwepo. Mjiandae.

Haya katafute matokeo yenu na Leeds alipocheza hii formation ilikuaje.

Screenshot_2021-05-13-13-32-36-30.jpg


You are too low
 
Una kaubishi fulani hivi cha kimiyeyusho
Bro sijaleta ubishi, ndio maana nimeomba unikumbushe, ili tuwe katika same page
Kitendo cha kuomba kuambiwa hiyo mechi ili mtu ajue,hapo hakuna ubishi,

Anyway kama nimekukera kwa kuuliza hiyo mech, My Bad
 
Maoni yangu

"Tumepoteza lakini hatukua dhaifu,
mpira tumecheza sana, na pia nafasi tumetengeneza (offside goal, 2 post hit, v pass na block alizofanya mari),,

Goli tulilofungwa pia sio laa kimbinu, ni makosa tu ya wachezaji..
Na pja arsenal walikua tayari hata kwa droo,, they defend with their life"

Sikutarajia tushinde gemu zote zilizobaki hasa fixture yenyewe ilivyokua ngumu..

Naamini ni mwanzo wa kurudi vizuri zaidi kwenye gemu zilizobaki.
 
Champions League final will be in Porto, Estadio do Dragão - official and confirmed by UEFA as expected. 🇪🇺🏆 #UCL #MCFC #CFC
 
Wapi alikuambia hatafungwa akikamilisha kuunda timu? Leta evidence hapa.Mara back three sio kwa ajili ya ligi conte anamakombe mangapi na back three ? Wewe ni jobless unayetafuta story za kusogeza masaa
Wao wanatumia Back 3 wanapigwa mtungo kika siku wanaona kama ndio kila mtu yupo hivo.
 
Maoni yangu

"Tumepoteza lakini hatukua dhaifu,
mpira tumecheza sana, na pia nafasi tumetengeneza (offside goal, 2 post hit, v pass na block alizofanya mari),,

Goli tulilofungwa pia sio laa kimbinu, ni makosa tu ya wachezaji..
Na pja arsenal walikua tayari hata kwa droo,, they defend with their life"

Sikutarajia tushinde gemu zote zilizobaki hasa fixture yenyewe ilivyokua ngumu..

Naamini ni mwanzo wa kurudi vizuri zaidi kwenye gemu zilizobaki.

Nami kiroho safi nimekubali kushindwa. Tukutane next mech naamini kina Zuma na kepa wake watakuwa bench
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom