ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Game bado haijaisha mzee
Wanapewa nafasi wanafanya fyongo ila lakini ile mistake huwezi kumlaumu kepa jorginho ndio kafanya upuuzi ule
Chanzo ni Zuma kurudisha rudisha mipira nyuma
Game bado haijaisha mzee
Wanapewa nafasi wanafanya fyongo ila lakini ile mistake huwezi kumlaumu kepa jorginho ndio kafanya upuuzi ule
Ni una hasira ndiyo maana unasahau herufi zingine?
Kinachoniuma hiyo mechi siangalii nipo hapa naangalia game ya Atletico na Real Sociedad.Braza we acha tu. Zuma anatia hasira sana
Unasemaje kwani?We KONDOO Kwan mpira umeisha?
Vipi huko?Wolfsburg ashinde.
Sevilla ashinde.
Chelsea ashinde.
Liva&Utd 1.5 Goals FT.
Msiniangushe wazee wa darajani hiyo hela ndiyo ya sikukuu









Leo hujaweka ahadi ya kunya?Mmeshindwa kutufunga?seriously?![]()
Bahati imewabeba Leo ila mmezidiwa kila kitu by farMmeshindwa kutufunga?seriously?![]()
Kushaharibika.Vipi huko?
Kwisha habari yenu.Bahati imewabeba Leo ila mmezidiwa kila kitu by far
Bahati leo ilikuwa iko upande wenu, tofauti na kupark bus hakun chochote mlichokifanya,Tuchel anajua kuwapamba mashabiki wa Chelsea utasikia "Naunda timu itakayoogopwa na wote" kesho yake anapigwa 5 na Westbromwich.
Mara anasema "Hii timu ni ya kuchukua mataji" anaenda kupigwa na Arsenal isiyo stable.
Hziyech22 nilikuambia Liva ilivyokua stable ilichukua ucl, msimu uliofuata ikachukua ligi halafu msimu uliofuata ndiyo ikapigwa 7 na Villa. Thom anasema timu ipo stable ndani ya hiyo wiki anapigwa 5 na Westbromwich.
Pochettino kazi inaelekea kumshinda kule PSG mchukueni huyo.
Bwana mkubwa Arsenal ana vibonde vyake viwili united na chelsea. Kwahiyo mi haya matokeo sishangaiBahati leo ilikuwa iko upande wenu, tofauti na kupark bus hakun chochote mlichokifanya,