Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kufungwa na Arsenal inabidi iwe wake up call.

Atalanta wakati wanapiga watu tano na saba walikua wanatumia formation ya mabeki 3 na Arsenal ilianza na formation hii chini ya Arteta ikaanza vizuri sana.

Kisha mechi zikaanza kupotezwa, str8 up tukajua timu inahitaji kuchange formation. At the same time Atalanta akaanza kufa na kupona.

Tuchel knows kwamba hii formation itafika sehemu itagive in as ni formation ya tournaments kuliko season long campaign, so kuna siku akajaribu 4 2 3 1 dhidi ya underdog fulani hivi, mlisuluhu ile game. Kuanzia pale akaresort na mabeki 3. Westbromwich wakamuexpose, Arsenal imemuexpose.

Tukutane msimu ujao. Nilimuambia shabiki wenu mmoja 'London laughingstock. Sooner'

Narudia na kwako wewe

London laughingstock. Sooner.
Eti westbrom na arsenal wametuexpose. Hivi unaelewa unachokiongea kweli?

Baada ya hao unaowaita westbrom kutuexpose. Tumeshacheza match 11 kwa system ya beki watatu nyuma pamoja na match yenu ndani.

Tumeshinda match 7 tumetoa sare 2 na kufungwa 2.

Hivi unahisi kuna chochote ambacho umeexpose kana kwamba makocha wajao wanaweza wakakitumia kikawa na msaada?

View attachment 1782799

Screenshot_2021-05-13-07-50-05-100_com.mobilefootie.wc2010.jpg
 
42774277

3 5 2 ni nzuri kwa tournaments za muda mdogo.

Kwa kampeni ndefu zinazokuhitaji uwe sehemu nyingi siyo formation reliable.

Tuchel alijaribu formation nyingine akanotice haiwezi, so next season atahama formation

Kwahiyo next season asipohama formation hii screenshot yako itabidi iwe extended coz loss zitakua ndefu pia.

Vitu vyepesi unashindwa kuvielewa.
 
42774277

3 5 2 ni nzuri kwa tournaments za muda mdogo.

Kwa kampeni ndefu zinazokuhitaji uwe sehemu nyingi siyo formation reliable.

Tuchel alijaribu formation nyingine akanotice haiwezi, so next season atahama formation

Kwahiyo next season asipohama formation hii screenshot yako itabidi iwe extended coz loss zitakua ndefu pia.

Vitu vyepesi unashindwa kuvielewa.
Arteta yeye si anafanya hivyo kwa ushauri wenu ndio maana yuko midtable?
 
Angalau tuna kocha anayekiri makosa. Mimi sikua na imani na hiyo line up kwa hiyo hata matokeo hayakuniumiza

Thomas Tuchel “Maybe I made too many changes from the last match so I take full responsibility for that, and maybe it’s the last wake-up call for us. I felt it a little bit coming in training yesterday and I’m a bit unlucky that it is proven today on the pitch. We had three days [to prepare], we had a good run and were in a good mood, but the choices were not so good on my side for the lineup so this is on me.

“We were unlucky but we did everything today to lose. I’m not happy with my lineup, I should not have done it like this.”

 
Tuchel anajua kuwapamba mashabiki wa Chelsea utasikia "Naunda timu itakayoogopwa na wote" kesho yake anapigwa 5 na Westbromwich.

Mara anasema "Hii timu ni ya kuchukua mataji" anaenda kupigwa na Arsenal isiyo stable.

Hziyech22 nilikuambia Liva ilivyokua stable ilichukua ucl, msimu uliofuata ikachukua ligi halafu msimu uliofuata ndiyo ikapigwa 7 na Villa. Thom anasema timu ipo stable ndani ya hiyo wiki anapigwa 5 na Westbromwich.

Pochettino kazi inaelekea kumshinda kule PSG mchukueni huyo.
Mbna unateseka na timu za watu kama sio kutafuta attention kwa wanaume ni nini kwani alikuambia anaunda timu isiyofungika, au kuna timu isiyofungwa.
 
Mbna unateseka na timu za watu kama sio kutafuta attention kwa wanaume ni nini kwani alikuambia anaunda timu isiyofungika, au kuna timu isiyofungwa.
Level yako ya ujinga iko wapi? Wakati anasema hivyo wewe ulikua wapi? Chelsea wenzako wanapost hayo maneno wewe ulikua wapi?
 
Kama huyu ananiuliza vitu ambavyo kocha wake kasema kama amevisema
Hiyo formation yao itawacost sana msimu unaokuja.....wao wanaishi kwenye ndoto maana kabla ya game wote wanatabiri 5 alafu sahizi wanakuwa wakali hawajibu hoja.
 
Level yako ya ujinga iko wapi? Wakati anasema hivyo wewe ulikua wapi? Chelsea wenzako wanapost hayo maneno wewe ulikua wapi?
Wapi alikuambia hatafungwa akikamilisha kuunda timu? Leta evidence hapa.Mara back three sio kwa ajili ya ligi conte anamakombe mangapi na back three ? Wewe ni jobless unayetafuta story za kusogeza masaa
 
Chelsea ze blauzi kumbe mmepigwa tena hahaha nacheka saaaaana.....
 
Wapi alikuambia hatafungwa akikamilisha kuunda timu? Leta evidence hapa.Mara back three sio kwa ajili ya ligi conte anamakombe mangapi na back three ? Wewe ni jobless unayetafuta story za kusogeza masaa
We na we kweli lofa sasa kwani nimekwambia mimi siyo jobless?😂

Kinabo bado mgeni humu endelea kuzunguka zunguka utakuta plastic wenzako wamepost evidence.

Msimu uliopita Inter alikua finalist Europa. Msimu huu kaishia wapi? Ameacha makombe mangapi ili afocus na ligi?😂😂😂😂

Jinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom