juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Vipi ile hoja yako ya kwenye ile thread yenu na ya huku tuamini ipi sasaGoli halina creators, goli limetokana na high pressing, Auba katoa assisst kwa Emile. Arsenal imetengeneza chansi 1 na hiyo hiyo ndiyo goli nyinyi mmetengeneza mbili zote mmemiss.
Tumebebwa na VAR. Wapi? Tangu VAR ianze kutumika Arsenal inashika nafasi ya juu kwa timu ambazo haziwi favored na VAR.
So siyo offside?
Tulipark bus. Yea. Kupaki basi ni game plan pia. Ambayo uingereza aliyeanza kuitumia ni chelsea.
Kuhusu kusema nyinyi na united ni vibonde vyetu hilo nalisema kila siku so unavyosema tuna bahati siyo kweli ila nyinyi ni vibonde kwetu.
Maana ni sawa na shabiki anayetaka kocha wa tim yake afukuzwe kwa matokeo mabaya siku akishinda anataka tena aendelee kuwepo,
