Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bwana mkubwa Arsenal ana vibonde vyake viwili united na chelsea. Kwahiyo mi haya matokeo sishangai
Mara ya mwisho kumfunga chelsea home n away ilikuwa ni wakat wa invincible

Mara ya mwisho kutufunga home ni 2011-12

Nadhani hayo ndio mafanikio yenu kutufunga home and away msimu huu

Ila leo bahati ilikuwa upande wenu same to VAR,
 
Bahati leo ilikuwa iko upande wenu, tofauti na kupark bus hakun chochote mlichokifanya,

Maana hata goli sio kama mmetengeneza ni error ya jorginho kurudisha kwa kipa
Umewahi kusikia kuhusu defense technic inaitwa high pressing?

Au gegenpress?

Mchezaji anaona hana pa kupeleka mpira anaurudisha nyuma, usidhani ni bahati ni mipango. Liva tushampiga goli la hivyo, Villa, Rennes, United so usidhani umebahatishwa.
 
Mara ya mwisho kumfunga chelsea home n away ilikuwa ni wakat wa invincible

Mara ya mwisho kutufunga home ni 2011-12

Nadhani hayo ndio mafanikio yenu kutufunga home and away msimu huu

Ila leo bahati ilikuwa upande wenu same to VAR,
Hata nyinyi city, atletico na porto mliwafunga kwa bahati tu. Kikosi chenu ni dhaifu hakina uwezo wowote ule.
 
Hata nyinyi city, atletico na porto mliwafunga kwa bahati tu. Kikosi chenu ni dhaifu hakina uwezo wowote ule.
Angalia chance tulizocreate katika hizo game, halaf useme ni bahati,

Hahaha huku unasema kikosi chetu ni dhaifu kule kwenye thread yenu unasema ukitoa man city ni chelsea ndio yenye kikosi ambacho ukitoa mtu na bado hakuna tofauti,
 
Sasa wew kwa akili yako pale uliona Zouma alikosa wa kumpigia mpira? Ni ujinga wake tu wa kupenda kurudisha mpira nyuma
Umewahi kusikia kuhusu defense technic inaitwa high pressing?

Au gegenpress?

Mchezaji anaona hana pa kupeleka mpira anaurudisha nyuma, usidhani ni bahati ni mipango. Liva tushampiga goli la hivyo, Villa, Rennes, United so usidhani umebahatishwa.
 
Angalia chance tulizocreate katika hizo game, halaf useme ni bahati,

Hahaha huku unasema kikosi chetu ni dhaifu kule kwenye thread yenu unasema ukitoa man city ni chelsea ndio yenye kikosi ambacho ukitoa mtu na bado hakuna tofauti,
Siki nimekujibu hivyo kwasababu naona umefocus kwenye shombo.
 
Sijafocus kwenye shombo,
Goli halina creators, goli limetokana na high pressing, Auba katoa assisst kwa Emile. Arsenal imetengeneza chansi 1 na hiyo hiyo ndiyo goli nyinyi mmetengeneza mbili zote mmemiss.

Tumebebwa na VAR. Wapi? Tangu VAR ianze kutumika Arsenal inashika nafasi ya juu kwa timu ambazo haziwi favored na VAR.
So siyo offside?

Tulipark bus. Yea. Kupaki basi ni game plan pia. Ambayo uingereza aliyeanza kuitumia ni chelsea.

Kuhusu kusema nyinyi na united ni vibonde vyetu hilo nalisema kila siku so unavyosema tuna bahati siyo kweli ila nyinyi ni vibonde kwetu.
 
Angalia chance tulizocreate katika hizo game, halaf useme ni bahati,

Hahaha huku unasema kikosi chetu ni dhaifu kule kwenye thread yenu unasema ukitoa man city ni chelsea ndio yenye kikosi ambacho ukitoa mtu na bado hakuna tofauti,
Naona unamuumbua anajitoa ufahamu na Hilo kauli yake kwenye thread yao
 
Hata nyinyi city, atletico na porto mliwafunga kwa bahati tu. Kikosi chenu ni dhaifu hakina uwezo wowote ule.

Kikosi chao hakina key player kama timu zingine,ukisema tu unamuwaza mchezaji fulani kama Spurs na kane na son,Liverpool na vvd,salah na mane.arsenal na auba.man u na Fernandez.namna walivyosasa hivi hawana mchezaji wa kuchukua balon do hapo.

Timu ikikosa hao watu ,ndio tunashangaa eti kafungwa na Arsenal?

Wamefungwa hawataki kukubali wao ni wakawaida sana tu. Kikosi chao hakitishi kabisa.
 
Kikosi chao hakina key player kama timu zingine,ukisema tu unamuwaza mchezaji fulani kama Spurs na kane na son,Liverpool na vvd,salah na mane.arsenal na auba.man u na Fernandez.namna walivyosasa hivi hawana mchezaji wa kuchukua balon do hapo.

Timu ikikosa hao watu ,ndio tunashangaa eti kafungwa na Arsenal?

Wamefungwa hawataki kukubali wao ni wakawaida sana tu. Kikosi chao hakitishi kabisa.
Wanacheza kwa morali tu hao hawana maajabu yoyote
 
Kwakuwa tuna fainal Jumamosi na Mendy amecheza mechi nyingi ngumu, haya matokeo hayajaniumiza sana.
 
Timu ya mauaji leo
Werner werner na katika hizi mechi sio ya kuwapa akina Kepa, Inaweza wapa nguvu hao washika manati

View attachment 1782506
Watu hawa watatu wametuuza, Zouma na back passes zake za kijinga, Kepa na Jorginho nao hawakuwa serious, unaachaje goli limeachama bila sababu yeyote, unatoaje pasi bila hata kuangalia hiyo pazi inamuendea nani. Hii timu mimi sikuwa na imani nayo, ni Tuchel tu ndie alikuwa na imani nayo

Gilmour ni mzuri sana lakini sio wa kupaie na Jo
Kep leo asingekaa golini kabisa
Pointi 3 naona Tuchel hakuwa na shida nayo
Naona amefocus kwenye FA Final
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom