lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,696
- 25,911
Yeah!, asante kwa kuona hiyoHongera kwao.
Ila UEFA Women Champion Ligi ni kati
Chelsea Women vs Barcelona 16/05/2021
Then UEFA kwa upande wa mamen ni
Chelsea vs Man City 29/05/2021
Yeah!, asante kwa kuona hiyoHongera kwao.
Ila UEFA Women Champion Ligi ni kati
Chelsea Women vs Barcelona 16/05/2021
Then UEFA kwa upande wa mamen ni
Chelsea vs Man City 29/05/2021
Niliwahi kusema huko nyuma kuwa kombe la UEFA na FA yanazagaa zagaa tu yaani hayana mwenyewe msimu huu. Na ni kz kwetu kuyakusanya. Haya sasa tuko fainali ktk makombe yote hayo. Kz kwetu sasa kuyaweka ndani
Tunachojua tumemnyoa city over .Mashabik wa Cheltako Ni plastic fans
Sawa mkuuu hii Chelsea haifungwi ,hakuna mwenye uwezo wa kuifunga Chelsea dunian kote ....Kwa namna Chelsea ilivyo sasaivi. Ili uweze kuifunga ni either uwafunge kwa kupata penati... Au Chelsea wawe pungufu kwa mmoja kutolewa kwa kadi nyekundu.
Lkn Chelsea tayari wameshakuwa makini kwa kutokufanya makosa ya kijinga yatakayopelekea kusababisha penati au mtu kutolewa kwa kadi nyekundu. Tangu game ya Chelsea na WBA iliyopelekea Thiago Silva kutolewa kwa kadi nyekundu na Chelsea kufungwa goli 5. TT amekuwa mkali sn kwa kuwaelekeza wachezaji wake wasifanye makosa na fauls za kijinga yatakayo pelekea matatizo au madhara makubwa ktk timu.
Sasa ili Chelsea uweze kuifunga kwa sasaivi labda zifanyike hujuma tu za waamuzi maana waamuzi na wao wakati mwingine wanaingia uwanjani wakiwa na mipango yao kuwaharibia timu Fulani au kocha Fulani sifa yake.
Kwa Hali km hii kwanini jamani haya makombe yanayo zagaa hovyo tusiyachukue tu km mpk tufungwe hadi iwe kwa hujuma?
Sawa mkuuu hii Chelsea haifungwi ,hakuna mwenye uwezo wa kuifunga Chelsea dunian kote ....
Hata CL na FA mnaenda kuchukua vyote kwa pamoja,hakuna wa kuwagusa ..!
Kwa namna Chelsea ilivyo sasaivi. Ili uweze kuifunga ni either uwafunge kwa kupata penati... Au Chelsea wawe pungufu kwa mmoja kutolewa kwa kadi nyekundu.
Lkn Chelsea tayari wameshakuwa makini kwa kutokufanya makosa ya kijinga yatakayopelekea kusababisha penati au mtu kutolewa kwa kadi nyekundu. Tangu game ya Chelsea na WBA iliyopelekea Thiago Silva kutolewa kwa kadi nyekundu na Chelsea kufungwa goli 5. TT amekuwa mkali sn kwa kuwaelekeza wachezaji wake wasifanye makosa na fauls za kijinga yatakayo pelekea matatizo au madhara makubwa ktk timu.
Sasa ili Chelsea uweze kuifunga kwa sasaivi labda zifanyike hujuma tu za waamuzi maana waamuzi na wao wakati mwingine wanaingia uwanjani wakiwa na mipango yao kuwaharibia timu Fulani au kocha Fulani sifa yake.
Kwa Hali km hii kwanini jamani haya makombe yanayo zagaa hovyo tusiyachukue tu km mpk tufungwe hadi iwe kwa hujuma?
Naona sasaivi umeanza kua unaongea kisoka kidogo kuliko pale awali. Ila bado una kitu kimoja ambacho kinakusumbua. Wewe unaona kikosi cha City kilichopangwa na PSG ndio kikosi imara kabisa cha ushindi kwa City. Nataka nikwambie kitu kimoja.Sawa mkuuu hii Chelsea haifungwi ,hakuna mwenye uwezo wa kuifunga Chelsea dunian kote ....
Hata CL na FA mnaenda kuchukua vyote kwa pamoja,hakuna wa kuwagusa ..!
Kawa mpole baada ya kichapo.Mzee wa kupaniki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sikatai chelsea inaenda kubeba CL ..Naona sasaivi umeanza kua unaongea kisoka kidogo kuliko pale awali. Ila bado una kitu kimoja ambacho kinakusumbua. Wewe unaona kikosi cha City kilichopangwa na PSG ndio kikosi imara kabisa cha ushindi kwa City. Nataka nikwambie kitu kimoja.
Kila kikosi hakina jipya lolote au ukali wowote. Maana kule mbele unae Mahrezi na Foden na KDB. Hapo kati unae Benado Silva na Gudogani na Fenandinho.
Ktk beki line yako ya watu wanne una Stone, Diaz, Zichenko na Walker. Hichi ni kikosi ambacho unakitegemea kabisa na unaona kabisa kina nguvu ya kuisasambua Chelsea vibaya.
Mimi nataka kukuambia. Nitaomba kila siku tuwe tunawachambua wachezaji wawili wa kila timu tuangalie Positive side zao na negativity zao.
Tukifanya hivyo tutakuja kuona hali halisi ya hicho kikosi chako na ubora wake na udhaifu wake.
Lkn Mimi nakutangulizia hints kidogo. Siku ya fainali Thomas Tuchel ktk timu yake ya Chelsea wachezaji wake ktk upande wa Strikers wawili atawapanga Timo Werner na Kai Haverts... Yaani hawa km hawatopata majeruhi nakwambia Leo hii na hii post uinote kabisa kuwa Chelsea itawapanga hawa wachezaji.
Na moja ya sbbu kwamba kwanini atawapanga hao wachezaji? Kwsbbu atahitaji Heights huko mbele na physical mentality kwa ajili ya kuwasumbua kina Stone na Diaz. Na hii itaondoa utulivu kabisa mpk ktk dimba la kati kwa viungo wa City.
Atapanga hivi na baadae atafanya sub ya kumtupia Pulisic ili sasa ndio awakimbize zaidi...
Ktk dimba la Kati la Chelsea viungo wetu watatu siku hiyo watapokezana kucheza. Kante Jorginho na Kovacic hawa mmoja wao ataanzia benchi...
Badae tuje tuwajadili Mahrez na Foden na KDB alafu tuone watakuwa wanakabwa na kina nani ktk safu ya ulinzi wa Chelsea?
Kumbuka Guadiola anacheza bila striker no 9 hapo kati na hii itawafanya kina Silva, Rudiger na Andy kuwa free na Ku monitor movement zote zinazotokea pembeni kwa kina Foden au Mahrez huku wakiangalia kina Benado Silva, Gudogani wanavyopanda kuja kusaidia mashambulizi. Kumbuka hawa kina Gudogon wakipanda, mid za Chelsea nazo zinashuka kuja kusaidia kukaba sasa sijui mtapita wapi?
Beki zenu za pembeni zikipanda wingback za Chelsea zinatanuka kuzuia movement. Na kina Mahrez, Foden na KDB wanabaki kikabwa man to man na centre three back wa Chelsea..... Yaani nakwambia rafiki yng lazima mkufe tu. Lile sasambu mlio mpelekea PSG kwa kikosi hichi basi nakwambia siku hiyo kocha wako akipanga tu hivi basi mtaoga goli zaidi ya 3 nakwambia.
Hapana mkuu hao kina modric ,kross,casemiro na hazard wako vizur ndio maana Madrid iliweza kumfuna man city nje ndan mwaka Jana mpaka man city ikatolewa ....Kawa mpole baada ya kichapo.
Kabaki saizi na hoja moja dhaifu sn.
Yeye kikosi chake imara ni hiki.
Edison
Walker, Stone, Diaz na Zichenko.
Gudogan, Fenandinho, Benado Silva.
Mahrez, KDB na Foden.
Sasa swali la kumuuliza. Hawa washambuliaji wake watatu wana ubora kuwazidi kina Benzima, Vini Jr, Asensio, Hazard?
Swali jingine.
Hao Mid wake watatu ni wazuri sn kuzidi Mid za Madrid kina Casemiro, Modric na Kroos?
Hawa wachezaji wa Madrid walipotezwa kabisa game zote mbili walizocheza na Chelsea tena hawa wachezaji wa madrid wana uzoefu mkubwa sn lkn walipotezwa sn seuzi hawa kina Mahrez wasiokuwa na uzoefu wowote?