Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We Akili huna
Hapana mkuu hao kina modric ,kross,casemiro na hazard wako vizur ndio maana Madrid iliweza kumfuna man city nje ndan mwaka Jana mpaka man city ikatolewa ....


Hii Chelsea ni ya moto Sana' ndio maana imeweza kumtoa madrid ..
 
Huyo kilaza achana nae tu, mi nilimuuliza swali moja tu kwamba, amepata mbinu ya ku unlock defense ya Chelsea? Akabaki anajibu jibu tu kwa kupaniki. Hiyo tarehe 29 ndio tutampeleka milembe kabisa maana anafikiri mpira ni kuongea ongea tu unavyo jisikia.
Kawa mpole baada ya kichapo.


Kabaki saizi na hoja moja dhaifu sn.


Yeye kikosi chake imara ni hiki.


Edison

Walker, Stone, Diaz na Zichenko.

Gudogan, Fenandinho, Benado Silva.

Mahrez, KDB na Foden.


Sasa swali la kumuuliza. Hawa washambuliaji wake watatu wana ubora kuwazidi kina Benzima, Vini Jr, Asensio, Hazard?


Swali jingine.


Hao Mid wake watatu ni wazuri sn kuzidi Mid za Madrid kina Casemiro, Modric na Kroos?

Hawa wachezaji wa Madrid walipotezwa kabisa game zote mbili walizocheza na Chelsea tena hawa wachezaji wa madrid wana uzoefu mkubwa sn lkn walipotezwa sn seuzi hawa kina Mahrez wasiokuwa na uzoefu wowote?
 
Huyo kilaza achana nae tu, mi nilimuuliza swali moja tu kwamba, amepata mbinu ya ku unlock defense ya Chelsea? Akabaki anajibu jibu tu kwa kupaniki. Hiyo tarehe 29 ndio tutampeleka milembe kabisa maana anafikiri mpira ni kuongea ongea tu unavyo jisikia.
Huwezi ku unlock defence ya chelsea mkuu ,kwa sababu hakuna club hapa dunian inayoweza kuifunga chelsea mpaka sasa ..!

Defence ya chelsea ni sold !!


Hata hivo inaweza kuchukua EPL
 
Fulam akifungwa leo biashara ya kushusha mizigo Epl itakuwa imekamilika
 
Kawa mpole baada ya kichapo.


Kabaki saizi na hoja moja dhaifu sn.


Yeye kikosi chake imara ni hiki.


Edison

Walker, Stone, Diaz na Zichenko.

Gudogan, Fenandinho, Benado Silva.

Mahrez, KDB na Foden.


Sasa swali la kumuuliza. Hawa washambuliaji wake watatu wana ubora kuwazidi kina Benzima, Vini Jr, Asensio, Hazard?


Swali jingine.


Hao Mid wake watatu ni wazuri sn kuzidi Mid za Madrid kina Casemiro, Modric na Kroos?

Hawa wachezaji wa Madrid walipotezwa kabisa game zote mbili walizocheza na Chelsea tena hawa wachezaji wa madrid wana uzoefu mkubwa sn lkn walipotezwa sn seuzi hawa kina Mahrez wasiokuwa na uzoefu wowote?
Awe mpole kwa vichapo sio kichapo na bado atachapwa, hakuna njia nyingine
Bingwa wa UEFA na EPL mwakani lazima aonyeshe kuwa hatakuwa na mchezo mchezo msimu ujao, ni kuwachapa tu anayekutwa njiani
 
1620709371587.png
 
Awe mpole kwa vichapo sio kichapo na bado atachapwa, hakuna njia nyingine
Bingwa wa UEFA na EPL mwakani lazima aonyeshe kuwa hatakuwa na mchezo mchezo msimu ujao, ni kuwachapa tu anayekutwa njiani
Tuchel aliwaambia atatengeneza timu ambayo hakuna timu itataka kucheza na wao... Sasa yameanza kutimia
 
Leo Man Utd vs Leicester City.


Km Leicester City atafungwa na UTD Leo basi hatokuwa na matumaini ya tena ya kushika nafasi ya tatu....
 
Ni ajabu kuona mtu mkubwa kushabikia team kama Chelsea
 
Tuchel akimpa maelekezo Odoi kwenye sub ya dk ya 76 badala ya Ziyech
Goli la Mount lililotupa ushindi dhidi ya Man city aliyeanzisha kwa ustadi mkubwa ni Odoi ambaye alimpelekea mpira Werner nay werner kwa timing nzuri akampasia Mount

1620728001514.png
 
TT kuhusu Mendy

"Yes, I think we cannot praise him enough because he is doing fantastically because he comes not only from Ligue 1 to the Premier League but from a club that is not used to playing every three days," Tuchel said at his press conference ahead of Arsenal.

"Now he is at a club where there's a match every three or four days. His concentration has remained incredibly high and that's what you have to deliver as a goalkeeper. With the three goalkeepers, in general, there is a fantastic atmosphere.
 
Tuna takriban miaka 10 tangu tupoteze kwa Arsenal, Kesho tutaendeleza rekodi hiyo
 
Tuchel akimpa maelekezo Odoi kwenye sub ya dk ya 76 badala ya Ziyech
Goli la Mount lililotupa ushindi dhidi ya Man city aliyeanzisha kwa ustadi mkubwa ni Odoi ambaye alimpelekea mpira Werner nay werner kwa timing nzuri akampasia Mount

View attachment 1780700
Aliyefunga ni alonso mkuu
Mount hakucheza kabisa game ya city
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom