Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,085
- 1,741
Luca Modric, Tony Kloose na Casamiro hawa Thomas Tuchel awatafutie dawa kabisa maana hawa ndio injini ya Madrid.
Najua leo hizi injini zitacheza deep ili kutawanya mipira ya mirefu wakitegemea mbio za Hazard, Asensio na yule Jr dogo wa kibrazil. Inabidi Ben Chilwell na Reece James na beki wa kati leo wafanye kz sn..
Najua leo hizi injini zitacheza deep ili kutawanya mipira ya mirefu wakitegemea mbio za Hazard, Asensio na yule Jr dogo wa kibrazil. Inabidi Ben Chilwell na Reece James na beki wa kati leo wafanye kz sn..