Kikubwa tumeshaokota pointi 3 muhimu hicho ndicho cha kumshukuru sana MunguYaani hawa WHUtd walitaka kutuuwa kweli
Duuuh...! Hapa pagumu na bahati inahitajika haswa kwa hali na mali maana naona kila mechi no ngumu sana sababu ya kukamiwa ili kuharibu rekodi ya TT na kukosa vikombe.Chelsea tumebaki game nane...
Game mbili za UEFA na game moja ya FA. Na game tano za EPL..
Ktk EPL tumebakiza game ya Fulham, Man City na Arsenal na Leicester City, na Aston Villa.
Game ya Leicester City itaanza ya FA alafu inaweza kufata ya EPL... Kisha tukamaliza na Aston Villa.
1 bilaWoyoo tumeshinda ngap mazee
Wener sometym anazingua, yeye na goli anakosa. Anasababsha tunaangalia mpira moyo unadundia pakukalia.Leo Wener kafungua account
Hapa mchaw man city tuChelsea tumebaki game nane...
Game mbili za UEFA na game moja ya FA. Na game tano za EPL..
Ktk EPL tumebakiza game ya Fulham, Man City na Arsenal na Leicester City, na Aston Villa.
Game ya Leicester City itaanza ya FA alafu inaweza kufata ya EPL... Kisha tukamaliza na Aston Villa.
Mechi ngumu ya Fulham tu tunaweza pata sare maana kwa sasa Thomas bado hajapata ufumbuzi na team zisizoshambulia ,lakini hao wengine hata goli hawapatiHapa mchaw man city tu
Hii THE BLUES inayotengeneza nafasi nyingi sana za kufunga, pale mbele ingempata striker kama Harry KANE angefunga magoli mpaka basi.
Wener sometym anazingua, yeye na goli anakosa. Anasababsha tunaangalia mpira moyo unadundia pakukalia.
Mtaweza kumfunga lecister city Mara mbili consecutively??Chelsea tumebaki game nane...
Game mbili za UEFA na game moja ya FA. Na game tano za EPL..
Ktk EPL tumebakiza game ya Fulham, Man City na Arsenal na Leicester City, na Aston Villa.
Game ya Leicester City itaanza ya FA alafu inaweza kufata ya EPL... Kisha tukamaliza na Aston Villa.
Hata aje nani bado kuna uzembe kwnye kucreate, na pia utoaji wa pasi, mtu anazubaa na mpira mpaka magepu yanafungwa, mara kibao waner anaonyesha kuchomoka kwnye back line,na unaona kbs gape lipo lakin hat mwenye mpira ndio kwanza yupo bize na kutoa back pass. Hapa ndipo namkumbukaga Hazard.Hii THE BLUES inayotengeneza nafasi nyingi sana za kufunga, pale mbele ingempata striker kama Harry KANE angefunga magoli mpaka basi.
Umesema kweliHata aje nani bado kuna uzembe kwnye kucreate, na pia utoaji wa pasi, mtu anazubaa na mpira mpaka magepu yanafungwa, mara kibao waner anaonyesha kuchomoka kwnye back line,na unaona kbs gape lipo lakin hat mwenye mpira ndio kwanza yupo bize na kutoa back pass. Hapa ndipo namkumbukaga Hazard.
Zile counter mbili za mwisho Ya Kante na ile ya Mount, angekua hazard yote yangekua magoli mana angewapasia wachezaji husika kw wakati na wangekua kwenye nafasi nzur za kufunga. ila walichokifanya sijui hawachezagi playstation.
Umemsahau diego Costa alivunja hiyo laana bahati mbaya conte akamuuza ila angeendelea huyu mwamba makombe yangekuja sana darajani.Hili tatizo toka Drogba aondoke hatujaweza kulitibu kikamilifu. Suala la umaliziaji ni changamoto sana kwetu. Nafurahi sana kwa sasa tuko vizuri kwenye ulinzi
Zote tunamfunga. Tena zinafatana na tofauti inaweza kuwa ni siku mbili au tatu tu.Mtaweza kumfunga lecister city Mara mbili consecutively??
Yaaani Fa final na EPL ? Mbaya zaidu hizi game zinafuatana ...
Jiandaeni kuachia kimoja hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]