Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Waje wagawe pointScottish giants Rangers and Celtic are wanted to join a British Super League, which would reportedly be 'backed by Fifa, Uefa and the UK Government.' [sun] #mufc
Waje wagawe pointScottish giants Rangers and Celtic are wanted to join a British Super League, which would reportedly be 'backed by Fifa, Uefa and the UK Government.' [sun] #mufc
Kova hadi mei mosiMi timu bila Kova aisee sioni tukitoboa kwa madrid.
Kama kocha vileJana Lecester city amefanya maisha ya Chelsea kuwa ngumu kidogo pamoja na washindani wake wa top 4
Kesho Chelsea asiposhinda atayafanya maisha ya pale darajani yazidi kuwa complicated zaidi
Hii squad ya ushindi kesho icheze na wawe aggressive
Werner
Pulisic--------------------------------------Ziyech
Ben Chilwell --------------Jorginho --------------Kante ------- James
Rudiger ------------------------ Christensen -------------------- Azpilicueta
Mendy
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Subs itakayotumika ziwe za Mount kwa jorginho, Odoi kwa Ziyech na Havertz kwa Pulisic
Angepotezea hii itamletea chukiJorginho on Lampard - Adai Lampard hakuwa tayari kwa kazi ya ukocha Chelsea
"Look, I'll be really sincere here on Lampard. I believe, given he was a legend at the club, he skipped some steps necessary for learning before moving to a big club," Jorginho told ESPN Brasil's Resenha.
"He came to a club where he is a legend, without having experience at other clubs. I think he came too soon, skipped a few steps ahead, and wasn't ready for a job at this level, to be honest."
Ebu tupe swali la kikubwa mkuuMkuu swali ya kitoto hili, tumalizane kwanza na wamiliki wa jina na pitch ili tujenge uwanja mkubwa wa kisasa.
We jamaa hizi habari unaziokota wapi.Cavani meomba kuondoka Man United kwa sababu anataka kuwa karibu na familia yake, ila wataalamu wengi wanadai ni kwa sababu hakupewa muda wa kutosha na Ole Guna
Je TT amchukue na kumfanya striker badala ya Giroud na awe anapewa muda wa kutosha kufikisha 20+ goals kwa msimu?
Kwa jinsi alivyoonyesha Man United Cavani ana uwezo wa kufunga goli 20+ kwa msimu mingine miwili ijayo hata akiwa na 36
Hizo habari ni za kweli na fuatilia, amepewa mara 20 na katika hizo ni cmara 10 hivi kaanza tofauti na yeye alivyotegemeaWe jamaa hizi habari unaziokota wapi.
Kwamba OLe hampi nafasi Cavan.
Kwahiyo Ze blues ushindi kwetu umeshazoeleka mpaka group letu halichangamki kwa kushangilia ushindi.


Tumezoea ushindi mkuu. Wale wa taaribu hawawezi tena kuja humu. Mashabiki wa Arsenal, Liverpool wanapambana na hali zao![]()








Haw watu wanapitia kipindi kigumu mpaka sio poa yani.Haw watu wanapitia kipindi kigumu mpaka sio poa yani.

