Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea VS Brighton
1618942135372.png
 
Worry yangu ni kuwa hizi timu kubwa kwa muda mrefu walitaka UEFA wabadilike ili timu hizo ziwe na manufaa zaidi na hayo mashindani lakini hawakusikilizwa, sasa supa league imeanzishwa kama kuwakomoa UEFA
Uko sahihi kabisa kwa 100%, Mabosi wa UEFA ndiyo wanufaika wakubwa sana kimaslahi kuliko uhalisia wa klabu husika ambazo zingepaswa kunufaika pia.

Yani malipo ya ubingwa wa UEFA unakaribia mara 2 ya bingwa wa EPL? hivi hawa viongozi wa UEFA wako makini kabisa na win-win economic principles au wanatumia exploitation economic principles kwa maslahi yao binafsi bila ya kuangalia klabu zinazoshiriki UEFA?

Sasa wanakutana na mwamba Perez ambaye nasikia yuko vizuri haswa kimisimamo na hata kifitina maana hata ile tuzo ya Modrich ya Ballon D O aliifanyia figisu akapewa huyo Modrich badala ya CR 7.

Tuombe uzima ili tuone mwisho wake ni yupi atakuwa mbabe na kuibuka kidedea.
 
Chelsea vs Brighton facts
  1. Katika mechi 14 Chelsea kashinda 12 na dro 2
  2. Brighton wamepoteza mechi zote 6 bila kufunga bao hapo darajani na kufungwa jumal ya mabao 14
 
Football Sports Breaking News
  1. Chelsea, Mancity, Barcelona, Atletico Madrid reportedly preparing to quit ESL
  2. Ed Woodward resign from Manchester United Vice Chair baada ya kushambuliwa na wachezaji akiongozwa ha Harry Maguire juu ya kuipeleka timu ESL
  3. Andrea Agnellil resigns as president of Juventus
  4. TalkSports Reports: Victory football fans... The European Super League is OFF
  5. Chelsea vs Brighton delayed for 15mins to get enough time to take players in the stadium
 
Mechi ya leo ndio umuhimu wa kovacic huwa unaonekana

Tumecheza vibaya sana utafikiri tulikuwa hatujui umuhimu wa mechi ya leo

Mechi zetu sita zijazo ni ngumu

Jmosi tuko na west ham (london derby)
 
Timu imecheza hovyo leo wachezaji kama hawapo uwanjani vile

Mkuu usiwalaumu wachezaji. Kuna siku mpira unakataa kabisa. Leo Brighton walikuja na mkakati wa kuvuruga mpango mzima wa chelsea. Na wamefanikiwa.

Draw siyo mbaya ingawa mechi ya leo ilikuwa na umuhimu wake. Next tupo na West ham naamini tunaenda toboa
 
Mkuu usiwalaumu wachezaji. Kuna siku mpira unakataa kabisa. Leo Brighton walikuja na mkakati wa kuvuruga mpango mzima wa chelsea. Na wamefanikiwa.

Draw siyo mbaya ingawa mechi ya leo ilikuwa na umuhimu wake. Next tupo na West ham naamini tunaenda toboa
Na ilikuwa tufungwe dk za mwisho kwa mistake za zouma na jorginho
 
Chelsea tulipewa blunders kama 3 golini mwa Brighton tukashindwa kutumia
Leo wachezaji walikuwa kwenye exhibition ya football, hawakuwa na plan ya kushinda leo
Kocha kaboronga kumuweka Mount katikati bora hata angemuweka Billy Gilmour kama Kante hakuwa tayari
Form ya Ziyech leo imedrop kidogo
Zouma mrembaji saa nyingine, kuna mistake moja kidogo tulizwe kwa sababu ya kukaa na mpira kizembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom