Tuchel hana mbinu ikiwa timu ipo pungufu. Silva red card ndio imepelekea hiki kipigo. Mmecheza vizuri japo mmepoteza. Westbrom nao wamecheza vema na wametumia vizuri mapungufu yenu.

Poleni.
Mpira ni mchezo wa makosa. Ukikosea kidogo unaadhibiwa ipasavyo. Unakumbuka ule mchezo wa Liverpool na Aston villa. Hakuna aliyetegemea Liverpool kupigwa 7
 
Ukweli unauma, kuanzia namba 4 hadi namba 9, atakayeremba matokeo atakosa top 4 na hata top 6, no UEFA no EUROPA
 
Kipindi tulichopo ni kile cha mwenzako akinyolewa wewe tia maji, Kila timu itanyolewa
Timu zingine ziko busy na kufuzu top 4 na zingine ziko busy kufuzu Europa league na zingine ziko busy kufuzu mid-table na wengine wako busy kuepuka kushuka daraja

Ila mashabiki wa Arsenalli ni vichwa maji hata wakibugizwa nyingi mfululizo wao wako busy kwa majirani wanajipendekeza
 
Barcelona wametakiwa kulipa hii fee kwa Haaland mbali na fee ya Klabu

  • ā‚¬20M in agent fees for Mino Raiola
  • ā‚¬20M in agent fees for Alf-Inge Haaland
  • ā‚¬30M net per year (after taxes) in wages
 
Hii timu wachezaji wakitokaga international wanakuwaga kama walevi vile.. apo tunaeza poteza game kama tatu hivi au nne ..hichi kitu cjui kwanini kinawaleteaga wachezaji wetu shida.
#CFC
Mkuu hapo kupoteza game 3 mpk 4 umezidisha sasa....juzi ilikuwa bad day @ the office Tu ...lkn game Hz zilizobaki na tukihitaji kuwa n uhakika WA kombe lolote kwakweli tunahitaji nishati ya kante...
 
Back
Top Bottom