John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,003
- 2,267
Kweli Mzee tulijioneašTunawakaribisha pale uwanja wa ndege baadae mje kushuhudia jogoo akinyonyolewa.... London Is Red COYG
Kweli Mzee tulijioneašTunawakaribisha pale uwanja wa ndege baadae mje kushuhudia jogoo akinyonyolewa.... London Is Red COYG
Mkuu tusilaumu ndiyo mpira ulivyo. Chamsingi tuendelee kuisapoti timu yetu. Tuchel ni kocha mzuri. Blue is colour, always bluesWaamuzi wengine wanaharibu mipira na kuharibu record za watu. Huyu alitumwa na FA kuharibu record ya Tuchel na Chelsea
Nimemkumbuka Mourinho. Yaani Leo angekufa na refa
Mkuu siyo Rahaa ila karahaa na uzuni ndiyo imesababisha tulale mpaka Muda huuNyie mbuzi mna raha gani mnalala HAdi sasa hivi
Mpira ni mchezo wa makosa. Ukikosea kidogo unaadhibiwa ipasavyo. Unakumbuka ule mchezo wa Liverpool na Aston villa. Hakuna aliyetegemea Liverpool kupigwa 7Tuchel hana mbinu ikiwa timu ipo pungufu. Silva red card ndio imepelekea hiki kipigo. Mmecheza vizuri japo mmepoteza. Westbrom nao wamecheza vema na wametumia vizuri mapungufu yenu.
Poleni.
Pole sanaMkuu siyo Rahaa ila karahaa na uzuni ndiyo imesababisha tulale mpaka Muda huu
Vifurushi vimepanda beiOllachuga Oc mbn leo kimya sana
Robinson anacheza West brom afu Werner yupo The blauz, kweli uchawi upoRed mpauko
Wewe huna sababu ya kuja huku maana huna timu ya kushiriki hata Europa msimu ujao.Sisi km The Gunners kufungwa na The blauzi pamoja na ndugu yake Nyumbu ni MWIKO
unajiskiaje kufungwa na timu isiyoweza hata kushiriki EuropaWewe huna sababu ya kuja huku maana huna timu ya kushiriki hata Europa msimu ujao.
Wewe unayeshiriki huwa unafanya nini cha tofauti na asiyeshiriki?unajiskiaje kufungwa na timu isiyoweza hata kushiriki Europa
Mkuu hapo kupoteza game 3 mpk 4 umezidisha sasa....juzi ilikuwa bad day @ the office Tu ...lkn game Hz zilizobaki na tukihitaji kuwa n uhakika WA kombe lolote kwakweli tunahitaji nishati ya kante...Hii timu wachezaji wakitokaga international wanakuwaga kama walevi vile.. apo tunaeza poteza game kama tatu hivi au nne ..hichi kitu cjui kwanini kinawaleteaga wachezaji wetu shida.
#CFC
Tumia at free basic uwepo wako muhimu sana humuVifurushi vimepanda bei
Chelsea ni utopoloWewe unayeshiriki huwa unafanya nini cha tofauti na asiyeshiriki?