Imagine shabiki wa Arse888 ndio anasema hivi, hahahahahaha ...........Chelsea ni utopolo
Imagine shabiki wa Arse888 ndio anasema hivi, hahahahahaha ...........Chelsea ni utopolo
Pulisic ajacheza sana ila kucheza kidogo tu ashapata injury, mda mwingi sana sahiv pulisic anautumia akiwa nje na hicho ndio kitu kinaifanya kiwango chake kishuke,Kante, Pulisic na Tammy wako injury
Kante ni wa muhimu keshokutwa
Ni mpira tu mkuu ..wewe unaeza mfunga Westbrom??unajiskiaje kufungwa na timu isiyoweza hata kushiriki Europa
Good news:Pulisic ajacheza sana ila kucheza kidogo tu ashapata injury, mda mwingi sana sahiv pulisic anautumia akiwa nje na hicho ndio kitu kinaifanya kiwango chake kishuke,
Kante tutegemee kumuona 2nd leg
Kwa game ya leo naona bora aanze chillwel kuliko alsoPredicted Line Up leo saa 4 usiku vs Porto
Formation 3-4-1-2
Werner ------------------------------------------ Havertz
----------------------------Mount-------------------------------
Alonso -------- Kovacic --------- Jorginho -------- James
Rudiger -------------------- Silva -------------------- Azpilicueta
Mendy
Porto ndio watacheza hivyo, Chelsea watamiliki 70%Tutadifence then tupige kaunta attackView attachment 1745770
Hapo nyuma Bora acheze thiago.... Christensen ataziba nafasi ya thiago ligi kutokana na Adhabu yake ya red cardTutadifence then tupige kaunta attackView attachment 1745770
Yeah sure maana wanawakosa kina oliviera ....hii naona watatarget kujilinda zaidiPorto ndio watacheza hivyo, Chelsea watamiliki 70%
Mount ashawapiga kimojaPorto tupo
Na msiondoke maana tuna jambo nanyiPorto tupo