Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1. Chilwell
2. Harvetz
3. Ziyech
4. Werner
5. Pulisic
6. Keppa

Ni wachezaji wazuri sana lakini sio wa hadhi ya club kubwa kama Chelsea yenye malengo ya kuchukua angalau kombe 1 kwa msimu.
Mkuu usajili ni kama kamali vile walikuja wakina torres,shevchenko,crespo,kezman katika vipindi tofauti nabado hawakufanikiwa

Mchezaj anaweza kuwa na uwezo wa kucheza tim kubwa ila anapohamia tu mambo yanaenda ndivyo sivyo angalia sanchez wakat anatoka arsenal na kujiunga na man utd. Au angalia na di maria wakati anatoka na madrid kwenda man utd

Mambo huwa yanabadilika mtu anaweza cheza tim moja vizuri ila tim nyingine akihamia unamuona hafai.
 
Sawa Hadija kopa, bora ufunge bakuli tuu unaitabiriaga mabaya Chelsea mwisho wa siku unaumbuka vibaya.

Ulishawahi kusema Chelsea itashuka daraja chini la Lampard, wanaume tunaingia UCL nyie mkaenda usiku wa send off kuolewa.

The BLUES chama kubwa la kupambania ubingwa EPL & UCL sio kupambania kushiriki Europa.

Never cross us, we'will make you target.
Hawa wanaendelea kufufuka taratibu kwa sababu sasa wana pts 41 wanajua hawashuki tena daraja. Hii ndio jeuri yao
 
BBC TETESI ZA USAJILI

Chelsea na Manchester City huenda zikagombania mlinzi wa Austria David Alaba, ambaye mkataba wake Bayern Munich unamalizika msimu huu, wakati ambapo mchezaji huyo anataka mshahara zaidi ya hata kile ambacho anaweza kupewa na Barcelona na Real Madrid. (Star on Sunday)
Huyu Alaba ni mchezaji wa ajabu sana, ni mmoja wa wachezaji wachache duniani mwenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi, LB na RB, CB na DM. Tukimpata tumepata asset kubwa sana na tunaweza mpa mktaba wa miaka minne hadi mitano. Akija anaweza ziba viraka vingi sana kuanzia middle, fullbacks na mabeki wa pembeni
Je Chelsea wataweza kulipa £400,000 per week ambayo Alaba ndio anataka? Real Madrid na Barcelona naona wamesalimu amri, huo mshahara ni mkubwa
Kama wataweza je Alaba ataikubali Chelsea isipovuzu Championship mwakani?
 
Wanawake wamebeba kombe la FA WSL baada ya kuwacharaza Bristol City 6-0. Hongereni wadada wetu
1615759772566.png
 
Borussia Dortmund will reportedly seek a fee in the region of €150 million for Erling Haaland in the upcoming summer transfer window, according to the latest information from Germany.

And a new report from Mundo Deportivo, via Sport Witness, state that Chelsea, Real Madrid and Manchester City have 'already made their moves’ to try and win the race for the Norwegian this summer.

Barcelona are also very keen on Haaland with it reported that he is considered the 'big dream' at the Nou Camp.

Chelsea are extremely interested in bringing Haaland to the club with previous reports claiming that Roman Abramovich has given Thomas Tuchel the 'green light' to sign Haaland in the summer.
1615780815255.png
 
Hiyo game tunamuhitaji sn Alonso... Na upande wa kulia tunamuhitaji James....

Maana tunahitaji kua sold ktk upande wa ulinzi.... Odoi acheze juu huko akisaidiana na forwards wengine
Mkuu unasema kweli kabisa. Halafu naona middle ya Kante na Jorginho haina mvuto kama ya Jorginho na Kova au Kante na Kova. Wakisimama Kante na Jorginho lazima mmoja awe juu zaidi ya mwenzake mfano juzi dhidi ya leeds Kante alikua na mchezo mzuri zaidi ya Jorginho lakini atakua mzuri akicheza na Kova.

Nadhani hata game ijayo dhidi ya Atlet lazima watacheza pamoja kwa sababu Jorginho nadhani atakua anatumikia adhabu ya kadi nyekundu so hata benchi hawezi kuwepo. Wewe unaonaje hiyo mechi?
 
Ukweli ni kwamba THE BLUES kwa miaka ya karibuni tumesajili wachezaji wa ovyo sana, Marina ajitafakari sana sajili zake.

EPL ni ligi ngumu, ya wanaume kweli kweli, kusajili ma miss ni wastage of time.
Marina alipowasajili kina Ziyech, Werner na Havertz mlimsifia sana
Uza Pulisic leta Son

Uza Ziyech + Odoi leta Mbappe au Sancho

Uza Werner + Giroud + Harvetz leta Harry Kane au Haaland
Hapa ndipo nakuja kutofautiana na baadhi ya mashabiki kama wewe. Mna mihemuko kupita kiasi. Hao kina Son hawakua na pressure kama hii waliyonayo kina Odoi na Pulisic.

Mkuu siku hizi comment zako nashindwa kuzielewa au kuna mtu kadukua simu yako?
 
Mkuu usajili ni kama kamali vile walikuja wakina torres,shevchenko,crespo,kezman katika vipindi tofauti nabado hawakufanikiwa

Mchezaj anaweza kuwa na uwezo wa kucheza tim kubwa ila anapohamia tu mambo yanaenda ndivyo sivyo angalia sanchez wakat anatoka arsenal na kujiunga na man utd. Au angalia na di maria wakati anatoka na madrid kwenda man utd

Mambo huwa yanabadilika mtu anaweza cheza tim moja vizuri ila tim nyingine akihamia unamuona hafai.
Mifano ni mingi Kagawa wakati anatoka Dortmund kwenda Man Utd, Lukaku wqkati anatoka Anderlecht kuja Chelsea, Luka Jovic kwenda Madrid
 
Mkuu unasema kweli kabisa. Halafu naona middle ya Kante na Jorginho haina mvuto kama ya Jorginho na Kova au Kante na Kova. Wakisimama Kante na Jorginho lazima mmoja awe juu zaidi ya mwenzake mfano juzi dhidi ya leeds Kante alikua na mchezo mzuri zaidi ya Jorginho lakini atakua mzuri akicheza na Kova.

Nadhani hata game ijayo dhidi ya Atlet lazima watacheza pamoja kwa sababu Jorginho nadhani atakua anatumikia adhabu ya kadi nyekundu so hata benchi hawezi kuwepo. Wewe unaonaje hiyo mechi?
Yes kuna namna fulani unaweza kuona double six ya Kante na Jorginho km haifanyi kz vzr lkn kuna kitu kimoja tunapaswa kutambua


Jorginho ni mzuri sn tukiwa na mpira na ktk kutoa pass.... Lkn sio mzuri tukitopeza mpira ktk recovery... Maana hana mbio kabisa na hana nguvu. Hiki ndio anachowazidi wenzake....


Wenzake ni wazuri sn kukaa na mpira na wana kasi sn ya kukimbia na wana uwezo mkubwa sn ktk kufanya recovery.... Lkn kutoa pass sn hasa za mwisho sio mafundi wao ni passes fupi fupi tu za move.


Nikija ktk game yetu ya juzi na Leeds... Leeds ktk huo mchezo walimlenga sn Jorginho hawakutaka kabisa achezee mpira au aguse mpira.


Alikua kila Mara lazima aangushwe chini asukumwe afanyiwe kila aina ya dhuluma ilimradi tu wasijipange au kutoa pasi ndefu za hatari... Maana km unawaona siku hizi Chelsea wamebadilisha mfumo kidogo... Hawakabii juu ktk half ya adui wanakabia mita 30 mpk 45 ktk eneo lao ili kutengeza magepu kwa adui na kuweza kufunga maana ile pressing ya juu na kumiliki mpira kule kunazifanya timu pinzani kucheza deep na timu kushindwa kabisa kufunga... Sasa Jarginho anacheza kwa chini kabisa ili apate uwanja mpana wa kutupia mipira ktk magepu ya wazi km kwa Meson Mount na Ziyench... Sasa timu pinzani zimeliona hili ndio zina muandama kinouma. Kila akigusa mpira tayari wamefika na kumchezea rafu....


Lkn Pamoja na yote haya, wakimdhibiti Jorginho wanampa nafasi Kante ya kutembea na mpira mbele maana anao huo uwezo na juzi tumeona namna alivyoweza kukimbia huko na kuko na kutengeneza move nyingi tu za nafasi...


Turudi ktk game na ATM....


Siku hiyo lazima ktk double six wasimame Kante na Kovacic... Yaani hii ni combination ya hatari sn.... Wote wana uwezo wa kukimbia na kukaa na mpira. Kufanya tackle, interception na recovery...


Yaani nakwambia mkuu leo j5 hawa jamaa watakimbia Km kila mmoja karibu 14... Wataivuruga kabisa ATM siku hiyo maana najua Diego Simeon atakuja na hasira km nyuki. Yaani watatupigia mpira wa nguvu mno siku hiyo... Tunahitaji kua imara sn siku hiyo. Watu km kina Alonso na James na Rudiger na Christiansen na Azpilicueta wanatakiwa kua imara sn na si kukurupuka... Tunatakiwa kufanya high pressing siku hiyo kuwazuia kabisa hawa jamaa ktk half yao. Odoi na Pulisic na Ziyench wakipewa nafasi siku huko mbele wasilete ujinga kabisa maana ATM wakipata goli tu basi wanakua wamepindua meza....


Sina mashaka na Giroud au Timo au Kai km watapangwa huko mbele. Mimi hawa attackers tu wanao wasaidia ndio shida yng yaani wapambane kweli kwsbbu dogo Mount siku hiyo hatokuwepo


Itakua ni game nzuri na ya ushindani na inapendeza kutazama sn....
 
  1. Timu inayoongoza duniani kuwasajili wachezaji nyota halafu wakifika hapo wanaflop ni Real Madrid na hawajifunzi

Kuna zaidi ya wachezaji nyota 20 waliosajiliwa na Real Madrid kati ya 2000 hadi sasa na wameflop kabisa na real madrid bado hawajifunzi Naona Chelsea wanafuata huo mkondo wa kutupa pesa kwa majina makubwa makubwa

Mifano ya wachezaji hao nimewapata watano hapa chini
  1. NICOLAS ANELKA | FROM ARSENAL | 2009
  2. KAKA | FROM AC MILAN | 2009
  3. MICHAEL ESSIEN | FROM CHELSEA | 2012
  4. EDEN HAZARD | FROM CHELSEA | 2018
  5. LUKA JOVIC | FROM EINTRACHT FRANKFURT |2019

Kwa Chelsea kuna
  1. Andriy Shevchenko
  2. Fernando Torres
  3. Radamel Falcao
  4. Juan Cuadrado
  5. Alvaro Morata
  6. Kepa Arrizabalaga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom