Hizo odds zao ndiyo zimenivuta. Pia kuifunga Atletico iliyochoka goli 1 tu kunanipa matumaini kua kwa nyumbu mtasafa.Huo mkeka badilisha bado unao muda usije ukajuta
Ila nitajitosa na kwenye live.
Hizo odds zao ndiyo zimenivuta. Pia kuifunga Atletico iliyochoka goli 1 tu kunanipa matumaini kua kwa nyumbu mtasafa.Huo mkeka badilisha bado unao muda usije ukajuta
Anafanya nini kitandaniPulisic hatufai, muda mwingi yuko benchi au kitandani
Hawa hawa Zebra United. Labda VAR iwazawadie PernandezAaah weeeh huwajui united wakiwa wanataka sifa
TuuzieniPulisic hatufai, muda mwingi yuko benchi au kitandani
Bruno Penalties on the beatHawa hawa Zebra United. Labda VAR iwazawadie Pernandez
Naona mmesahau yw salah na kdbPulisic hatufai, muda mwingi yuko benchi au kitandani
Atarudi tu. Anahitaji mazoezi na ushauri nasaha kwa maoni yangu. Inaumiza kucheza chini ya kiwango. IIimuathiri Timo kipindi kirefu ila ameanza kurudi. Na Pulisic atarudi tu!Pulisic hatufai, muda mwingi yuko benchi au kitandani
Muogope Mungu wako. Saka ana assissts nyingi kuliko Kai mliyemnunua kwa milioni 77.Pulisic = Saka + £20M
Deal![]()
Ila Yana mwisho haya!Pulisic ni mchezaji mwenye kiwango kikubwa sana, changamoto inayomkabili ni MAJERUHI tuu.
Kama sio injuries walau angejaribu kuvaa viatu vya HAZARD
Pulisic hajawahi kucheza mechi zaidi ya 4 mfulilizo katika maisha yake ya soka.
Hata akiingia SUB dakika 10 injury ziko pale pale.
Pauni milioni 105.Kwani Saka bei gani sokoni kwa sasa?
Kwa hiyo mkipewa hiyo amount mnaweka mfukoni kabisa. Sisi tunawapa milioni 35, tena muchukue kabla hatujabadili mawazoPauni milioni 105.
Hehehe subirini tu tukikutana tena.Kwa hiyo mkipewa hiyo amount mnaweka mfukoni kabisa. Sisi tunawapa milioni 35, tena muchukue kabla hatujabadili mawazo
Hii kauli uifute sasa.Kweli msiba kupokezana
Tuchel sio Lampard Ni kocha ambaye kimbinu yupo vizuri na anajua kutumia wachezaji waliopo vizuri alafu kumbuka tupo darajani nakushauri mzigo wako wake chelsea Kama unataka kupiga pesa usije baadae ukajutaMuogope Mungu wako. Saka ana assissts nyingi kuliko Kai mliyemnunua kwa milioni 77.
Alijiona wa maana.Eden Hazard anatamani kurudi nyumbani kemonoga. Je tumsajili arudi?