inajtwajekunapage flan huku twitter n mteremko tu, me nacheki mech zote live na HD
Dear Tuchel
Honeymoon is over
Next 6 Games
Atletico (A)......
Man Utd (H).
Liverpool (A).
Everton (H).
Leeds (A).
Atletico (H).Then out of champions league

Asante sn.Ongereni wanablues kwa ushindi.
Nipo atletico Madrid kwa muda![]()
Ben kwa maoni yangu muache akalie benchi kwa sasa maana Alonso ni mzuri sn kuliko BenNi muda muafaka sasa Tuchel amjaribu Ben Chilwell kwenye LB badala ya kumng'ang'ania Alonso hata kama hachezi vizuri. Alonso ni mmoja wa wachezaji waliocheza vibaya mechi na Southamptom wakiwemo Zouma, Tammy na Mendy. Pia Azpi, Rudiger, Kovacic, Odoi na Werner walicheza kawaida mno. Aliyecheza vizuri sana ni Mason Mount akifuatiwa na Kante pamoja na Reece James
Ndio unajiuliza Lampard alikua anamwekaje nje hlf anaanza Abraham, hat hupati jibu.
Chelsea sisi wa kutusumbua may be City au Bayern. BasiiiiiSahihi
Ata hivo anachofanya Tuchel ni kuwaleta wachezaji wote kua pamoja na kua na umoja na kutoa minong'ono ndani ya timu na makundi. Maana Lampard alikuata amewagawa wachezaji. Mfano hawa kina Alonso na Rudiger Azpilicueta, Lampard alikua hawataki lkn huyu Tuchel kawaleta wote pamoja na wote anawapa nafasi kucheza yaani hadi Bily Gilmour anapewa nafasi hadi Kepa.
Hivi ndio timu inatakiwa kuletwa pamoja. Ktk game ya na Utd naamini Ben ataanza maana hakuna approach yoyote ile UTD atakayokuja nayo zaidi ya Utd kupaki basi na kutegemea mipira mirefu na counter attack huku akitegema uwezo wa wachezaji wake ktk kukimbia km kina Marcus Rash na James.
Sasa Alonso ni mzito hana mbio sn na amecheza mfululizo hivo anahitaji kuanzia bench au aanze then atolewe aingie Ben.