Yametimia! Subiri wenyewe wakusikie hapo kwenye red.Hahaha... nadhani zitakwenda penalties... wakati wanapiga penalty I was telling this guy ambaye tunaangalia wote kwamba Peter C. He is good with penalties! Wakienda penalties nadhani chelsick wanabeba ndoo hii
Nina wasiwasi, Neuer anajaa sana golini.
HONGERA Dark City&Company!Hii ngoma bado nzito....hadi penalties zipigwe...si rahisi kutabiri hadi sasa!!
HONGERENI Chelseaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mwaaaah
Beyer 3 chelsea 4. Chelsea is a champion 2012