Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Anachoongoza chelsea
Screenshot_20210120-004229.jpg
 
Njia pekee ya kuokoa huu msim nikumtimua lampard asap kabla ya gap kati yetu na wajuu halijawa kubwa.

Akiendelea kuwepo huyu hata top 4 hatutomaliza naona tutamaliza wa 10 huko

Lampard ndio kocha mbovu kuwahi kufundisha hii tim katika zama hizi za abramovich, ni bora wakina AVB n Di matteo kuliko huyu

Tunacheza mpira mbovu kuliko hata wamsim uliopita, msim uliopita tumecheza mpira mzuri na matumain msim huu ya kawepo kutokana na hali iliyoonekana msimu uliopita cha ajabu sasa tunacheza mpira mbovu kuliko hata wa msim uliopita
 
Chelsea kapigwa tena basi arsenal bingwa EPL
Kama unabisha nyoosha mkono fanya kama unajikuna

#arsenal for life
 
Njia pekee ya kuokoa huu msim nikumtimua lampard asap kabla ya gap kati yetu na wajuu halijawa kubwa.

Akiendelea kuwepo huyu hata top 4 hatutomaliza naona tutamaliza wa 10 huko

Lampard ndio kocha mbovu kuwahi kufundisha hii tim katika zama hizi za abramovich, ni bora wakina AVB n Di matteo kuliko huyu

Tunacheza mpira mbovu kuliko hata wamsim uliopita, msim uliopita tumecheza mpira mzuri na matumain msim huu ya kawepo kutokana na hali iliyoonekana msimu uliopita cha ajabu sasa tunacheza mpira mbovu kuliko hata wa msim uliopita
LAMPARD MITANO TENA
 
Timu inamiliki mpira kwa zaidi ya 60% kila kipindi yet haipati magoli shida ni nini? Arsenal tulikua hivyo na tatizo ilikua hatufanyi runs na hatuna wa kutoa pasi.
Chelsea ina kila aina ya mchezaji. Wanadpfeli wapi? Lampard anasema ni kwavile wachezaji wake ni wavivu.

Narudia tena hata kwenye uzi huu. Kwa Arsenal top 4 is within reach. With AM we will be able to stretch enough for it.
 
Kwa mwendo huu soon arsenal watawapita !!! Mmespend more than 200m pounds for nothing!!!

Kai
Werner
Hakim
Chilwel
Mendy

Thiago
Pia kuna jamaa anaitwa Malang Sarr. Huyu naye alisajiliwa batch ya wakina Werner.
 
Petr Cech akiwa anaondoka Arsenal alisema "Chelsea ina fighting spirit kubwa, timu ikipoteza mchezo ukiingia dressing room inakua ni kama kuna msiba, hua tunakua kimya. Ila Arsenal watu hucheka na huongea kama kawaida"

Chelsea ilifikiri inafungwa kisa Kepa, timu zimeshamiliki mapazia zaidi ya Kepa lakini hayo mapazia yalionekana yanajua mfano Valdes akiwa Barca. Naamini Mendy hatofikia rekodi ya Kepa akiwa Chelsea, Kepa ana stats nzuri, Mendy kashasahau kutamka neno clean sheet.

Ingawa Lampard hua anawatupia lawama wachezaji wake ila na yeye ajiangalie.

Veteran wa 4 3 3, Guardiola, kaabandon huo mfumo siku hizi anatumia 4 2 3 1. Klopp bado anautumia na unaona kinachotokea, possession kubwa, shots off target nyingi yet hawawezi create chances. Hii formation inataka attacking fullbacks wawe kama Trent wa msimu uliopita, na timu zisikujue kama msimu uliopita.

Timu zenye fullbacks wa kariba hiyo, Arsenal's Tierney, Brighton's Lamptey, Milan's Hakimi, Bayern's Davies hazichezi 4 3 3. Hii ilitakiwa iwashtue wakina Lampard ila jamaa bado, anaamini hii formation ndiyo muarobaini anaamini Werner ni mzuri akiwa lone striker au akiwa LW, Havertz akimuweka wide n.k. ila kaomba 200M nyingine ya usajili so msijali anaweza akageuza hii drama ya kutofunga timu za kuanzia wapi hadi wapi sijui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom