Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii jamaa jana imeshinda, lakini sijui imeshinda njaa! Maana hata yenyewe hayana furaha.
 
Njooni muone kuku anavyo chinjwa leo.
Kuku hachinjwi kimabavu, anasomewa duwa, anaangalizwa kibla, kinacho fuata ni kisu kimoja.

Usisahau kuja na pili pili, ndimu zipo za kutosha.
 
Naomba nikuulize swali lembu

Kwanini timu yetu inatumia mbinu moja tuu ya kufunga mabao ambayo ni mipira ya cross kutoka pembeni? Ziyech, Chilwell, James, Odoi, Azipu

Ina maana hatuwezi Kutengeneza mabao kupitia katikati?

Sasa hao watu wanaopiga cross mfano Ziyech akirudi tena majeruhi hatutafunga magoli?

Mi nadhani tucheze style tofauti tofauti za kutengeneza mabao tumshambulie adui kote kote (kushoto, katikati na kulia).

Hii ya kutegemea cross tuu ni mbinu hatarishi haitafanya kazi kila siku.

Harvetz alazimishwe kucheza hata kama ni kwa fimbo azoee ligi kwa nguvu zote, ili tupate ubunifu kutokea katikati, tulimsajili ili kuboresha ubinifu pale katikati.

Kumuweka bechi ni kuchezea pesa na kipaji na ni aibu kurudi tena sokoni kumsajili CAM

4-2-3-1

----------------- WERNER ----------------


Pulisic ------- Harvetz ---- Ziyech

Mi nadhani kwa hali ilivyo LAMPARD ajitoe muhanga. Atengeneze 1st eleven ya mfumo rasmi 4231 panga pangua usibadilike, labda zitokee injuries

----------------- WERNER ----------------


Pulisic ------- Harvetz ------- Ziyech

------------ Kante -------Jognho -----

Chilwell - Thiago - Zouma - James


SUB:- Giroud, Odoi, Mount, Gilmour, Azipu, Ermason, Kovacic, Abraham

Halafu awape morale ya kufa mtu kama kocha CONTE. Morale ianzie kutoka uwanja mazoezi.
Umeserma kweli na tunao wachezaji wenye kuweza hivyo. mimi naona Lampard ni rigid hata kuliko Sari. Mbinu zenye kuleta matokeo ya haraka haraka huwa ni counter attack, ila Chelsea hiyo wameshasahau tangu enzi za Conte. Mfano Werner ni mzuri sana kwenye Counter na magoli yake mengi alikuwa akifunga kwa njia hio. Hata akina Giroud na Tammy wanaweza kufunga kwa counter. Penetration passes katikati ni approach nyingine unayosema wewe ila haitumiki tena bora hata Sarri alikuwa akiitumia kidogo. Long balls ni approach nyingine yenye kuleta magoli ya haraka haraka nayo haitumiki. Ilitumiwa na Jo mara moja dhidi ya Werner mwanzoni mwa msimu na pia mwak jana dhidi ya Tammy lakini sasa hakuna. Ziko mbinu nyingi na wachezaji wetu wanaziweza karibu zote lakini Lampard amekuwa rigid kwenye short passes za side ways na backwards
 
Mimi nimekuwa admirer mkubwa sana wa Odoi, kwa nini Lampard hampi muda wa kutosha au kumuanzzisha kabisa, uchezaji wake unaweza kuleta mabao mengi sana, Goli la Jana alianisha Odoi kwa ubunifu wake wa kumpasia mpira Chilwell. Odoi anacheza kwa kasi, mwepesi na anajua kupasi na kupiga krosi nzuri kama za Ziyech na James. Pia Odoi amekuwa regular Goal scorer kwa dakika chache anazopewa. Ni muda muafaka sasa Odoi awe anagawana muda sawa na Ziyech na Pulisic

----------------- WERNER ----------------


Pulisic ------- Ziyech -------Odoi

------------ Kante -------Jognho -----

Chilwell - Thiago - Zouma - James

AU

----------------- WERNER ----------------


Odoi ------- Havertz-------Ziyech

------------ Kante -------Jognho -----

Chilwell - Thiago - Zouma - James
 
Nimegundua njia nzuri ya kupunguza stress za kufungwa
Nimeamua kuanza kucheza BETING
Leo nimeanza na M-BET.CO.TZ
Mkiniona nafurahia Manure kushinda sina mapenzi na hako katimu ila ni mshiko nitakaoupata
Manure msiniangushe leo
 
Ushapata subiri kupokea tu.
Nimegundua njia nzuri ya kupunguza stress za kufungwa
Nimeamua kuanza kucheza BETING
Leo nimeanza na M-BET.CO.TZ
Mkiniona nafurahia Manure kushinda sina mapenzi na hako katimu ila ni mshiko nitakaoupata
Manure msiniangushe leo
 
Mi na timu yangu ya kitaa. Lampard namfunga vizur tu, kocha gani mchezaji wake wakiwa na mpira unakua umeshajua pasi inayofata anampasia nani. Yaani Lampard ni mpuuzi sana anawaelekeza wachezaji wapge pasi hata kama wapo wenyewe badala ya kuwaelekeza kukokota ili kufungua nafasi.

Sema tu red card, tungefungwa ningefurahi sana. Lampard ni wa kufukuzwa.
 
Hivi ni vyema kutumia neno "OFLOAD TOMORI", kijana wa miaka 22 na mshahara wake mdogo kweli LAMAPRD Simuelewi, kesho tutakuja kutaka kumnunua Tomori kwa Paundi mil 75 kama tunavyofanya kwa Declan Rice

Lampard explains decision to offload Tomori as Chelsea defender nears AC Milan loan

Lampard amekiri mchakato wa kumtoa Tomori AC Milan kwa mkopo na baadaye kuuzwa uko kwenye hatua za mwishoni
 
Kuna shabiki moja kule Youtube kasema Mount apewe mkataba wa maisha
 
Hivi ni vyema kutumia neno "OFLOAD TOMORI", kijana wa miaka 22 na mshahara wake mdogo kweli LAMAPRD Simuelewi, kesho tutakuja kutaka kumnunua Tomori kwa Paundi mil 75 kama tunavyofanya kwa Declan Rice

Lampard explains decision to offload Tomori as Chelsea defender nears AC Milan loan

Lampard amekiri mchakato wa kumtoa Tomori AC Milan kwa mkopo na baadaye kuuzwa uko kwenye hatua za mwishoni
Beki ya kati ukiwa mfupi ni changamoto kubwa sana...

Hii ndio sababu ya kumuondoa tomori... Hata ww ungekuwa kocha ungemuuza tomori
 
Erling Haaland has already delivered his verdict on Frank Lampard ahead of Chelsea transfer bid

Haaland was asked who the one player he’d want to have played with that has retired and her replied: “Frank Lampard.”

Dortmund have shown in recent years a willingness to part ways with their key players for the right price, with their sales including Pierre-Emerick Aubameyang to Arsenal and Ousmane Dembele to Barcelona.

However, they will hope to keep Haaland for a longer period although their resolve is likely to be tested this summer.
1611078733733.png
 
Dear Chelsea

You are between a rock and a hard place. You have two very hard choices to make.

1. You either beat Leicester and let Manchester remain on top.
2. Or you let Leicester beat you and Arsenal catch up with you

Choose wisely.

Najua majirani zangu game ya leo mtatumia busara za kiwango cha lami
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom