







Hawakujibu ng'ooHawa vibonde wanatoa wapi nguvu ya kuongelea sare yetu na liver..![]()
Boss alishamuamini Frank lampard, kama makonda vile alivyoaminiwa
Lakin watakuja washabik maandaz wa maji matitu ata soksi OG za timu hanunui ili kukuza pato, watakuambia lampard atimuliwe
Lampad mikumi tena



Hongera kwa utabiriTimo Werner kala mkeka.
Kai kawekwa pembeni.
Ziyech kala mkeka.
Kante hayupo.
Formation 4 3 3.
Mpaka break kama hamjawafunga basi kipindi cha pili mnakufa.
Unaona watachomoa kweli?Hongera kwa utabiri


ata sijui niseme nini, hivi mulisema mkishinda mechi ngapi mnakaa pale juu??



