bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Lampard siyo coach aisei, tactically yuko hovyo mno, team psychologically iko down ameshindwa kujenga timu yenye tabia ya kupenda kushinda si kucheza mechi.Fulham RED card
Tushinde sasa
Reaction ya wachezaji wa Chelsea wakipata mpira ni duni mno. Mtu apiga pasi bila ata kukabwa eti afu ile tabia ya timu kulazimisha magoli hatuna.
Generally kocha kashindwa vibaya hii timu, unawachezaji vijana wanacheza mpira wa KIZEE tupu hamna pasi si wepesi kujiposition na kupiga pasi fupifupi team gani hii..?




Wachezaji goigoi tupu. At least MASON MOUNT basi.
