Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wana DARAJANI naona daraja limeanguka mapema sana!
Nani sasa anaweza jitapa kabisa kama hayaogopi Majogoo?
 
Huwezi ukawa bingwa kama unaogopa kukutana na wakubwa wenzako
Kukutana nao mapema ni nuksi, kama huamini subiri kitakachowatokea na Manure. Mkubwa mwenzako unatakiwa kukutana nae rono au nusu au finali kabisa huko tutakuwa tumejiandaa kula nyoronyoro kwanza
 
Kukutana nao mapema ni nuksi, kama huamini subiri kitakachowatokea na Manure. Mkubwa mwenzako unatakiwa kukutana nae rono au nusu au finali kabisa huko tutakuwa tumejiandaa kula nyoronyoro kwanza
Kwanini kiwatokee Manchester United tu?

Kwanini isiwe Livakuku?
 
Munahabari kua Manchester United anaongoza ligi huko?
Au muna lialia nyau tu?
 
Chelsea owner Roman Abramovich is considering a move to bring former manager Avram Grant back to Stamford Bridge to join Frank Lampard's backroom team.

— Sky Sports News (@SkySportsNews) January 12, 2021
1610508177172.png
 
Chelsea owner Roman Abramovich is considering a move to bring former manager Avram Grant back to Stamford Bridge to join Frank Lampard's backroom team.

— Sky Sports News (@SkySportsNews) January 12, 2021
View attachment 1676079
Amuondowe kabisa sio kimuongezea nguvu huyu lampard hana mbini za mpira kwa kiwango cha Chelsea, anaua vipaji vya wachezaji, Imagine paka sasa hivi Chelsea haina star wakutegemea! wachezaji wote wako average, na hatuna winning team Best 11. Kochi gani huyu? hata kama ni muingereza amondowe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom